Huenda CHADEMA ni CCM na CCM ni CHADEMA lakini mbele ya kamera wanatuzuga!

Huyu ni mpumbavu sana kichwani anajifanya hajui uhuni uliofanyika Kwa muda wote? Shenzi type!
Unazingua kwani kuto kujua nikosa?

Na niyupi mpumbavu Kati yayule anaye taka kujua kwa kuuliza na yule anaye mwita mpumbavu anaye uliza?
 
Anahitaji kurudishwa primary school
 
sasa najiuriza kwanini mtu wa chama pinzani na risu aliamua kumsaidia huyu bwana risu kumtoa hapa mpaka Kenya wakati huohuo risu akiwa mpizani wake?
Ungejipa Nafasi ukamjua Salim Abdulla Turky Mbunge wa jimbo la Mpendae( R.I.P) ingejua kwanini alimtokea Ndege kwenda Kenya. He was man of God...

Kazi za Lissu kila mpenda amani, haki na maendeleo anazi admire. Wengine hawajitokezi wazi wazi kutokana na maslahi yao( kinga).

Ulikuwa unajua kuwa Rais Mstafu Alihassan Mwinyi alikuwa akimtembelea Lissu Kenya?

Lissu is going to be Next President soon or later.

Amini nakwambia.
 
kikubwa zaidi kinacho shangaza huyo huyo risu ndiye mpinzani mkubwa wa sasa wa SSH""

na SSH ndiye mtu aliye enda kumtakia Hari akiwa huko Kenya pamoja na kuchimbwa mkwala na kiongozi wa wakati ule
Maswali yako mbona yana majibu? Kama kweli wewe ni mfatilia siasa...

Samia kwenda kumtembelea Lissu akiwa anaumwa ni tukio la kibinadamu la kiutu. Lakini kwenye kuongoza Nchi Dr Samia hawezi kuachwa tu hata kama anakosea.

Lissu anahaki ya kuchuana naye amtoe madarakani tupate kiongozi bora.
 
Sikatai mkuu Inawezekana lakini itakuwa kupitia chama gani ccm au chadema?
 
Ule upepo ulikuwa balaaa
Ndomana wale jamaa wakaona
Watumie nguvu kuwapunguza kasi wapinzani

Ova
 
Akihamia Mpina tunaenda naye huyo huyo.Tunaachana na Lisu
 
Risu ndo nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…