Huenda CHADEMA ni CCM na CCM ni CHADEMA lakini mbele ya kamera wanatuzuga!

Rudi darasani
 
Hapo ndo unajiona umeumiza kichwa mwenyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapo ndo unajiona umeumiza kichwa mwenyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana naskia Raha baada ya kuku kerega
 
Now have I understand who you are internally. coz have you show your self how low is about your thinking capacity

so nime kusamehe
Marekebisho ya kisarufi (grammar) mkuu, sentensi yako ilipaswa kusomeka hivi:

Now I have understood who you are internally. Coz you have shown how low is your thinking capacity
 
Kwanza unakaiwa utambue makamu wa raisi hakufunga safali moja kwa moja kwenda kumuona lisu, alikwenda kwenye ziala ya kikazi ndio akaenda kumuona lisu, ingekuwa ajabu kama mama asingekwenda kumuona jamaa pale,


Kingine unatakiwa ufahamu kwa watu wenye uwelwa wanachukulia mpinzani kama mkono wa kushoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…