Huenda Elly Mpanzu alikosa timu Ulaya kwa kudanganya umri?

Huenda Elly Mpanzu alikosa timu Ulaya kwa kudanganya umri?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huku Africa mpaka leo kuna watu bado wanazaliwa nyumbani,Africa nchi nyingi hazina database ya raia wake.

Elly Mpanzu kuwa na miaka 22 !!!!. Mpanzu kama kazaliwa 2002 mimi nilishamaliza form six, lakini leo hii naonekana kijana kuliko yeye. Wazungu wana kipimo cha umri, si ajabu kilisoma 32 YEARS🥺

Yaleyale ya Amis Tambwe eti alikuwa na 23, Josh Onyango 22., wamekomaa kuliko Kikwete mwenye 74

Mudathir Yahya naye kutudanganya kuzaliwa 1996 wakati 2011 yuko Azam ya wakubwa,urongo

Ibrahim Ajibu alisoma darasa moja na mdogo wangu mwenye miaka 38

Mutale na Aucho mimi sina la kusema,aliyegundua supwr black amewasaidia sana,huwezi kuota uwaraza kama ule ukiwa na miaka 22

Muda sahihi wa kununua kipimo cha umri nchini,isije ikawa tunafukuza wazee na kusajili wazee

Bongo sihami

1728046642162.jpeg

 
Huku Africa mpaka leo kuna watu bado wanazaliwa nyumbani,Africa nchi nyingi hazina database ya raia wake.

Elly Mpanzu kuwa na miaka 22 !!!!. Mpanzu kama kazaliwa 2002 mimi nilishamaliza form six, lakini leo hii naonekana kijana kuliko yeye. Wazungu wana kipimo cha umri, si ajabu kilisoma 32 YEARS🥺

Yaleyale ya Amis Tambwe eti alikuwa na 23, Josh Onyango 22., wamekomaa kuliko Kikwete mwenye 74

Mudathir Yahya naye kutudanganya kuzaliwa 1996 wakati 2011 yuko Azam ya wakubwa,urongo

Ibrahim Ajibu alisoma darasa moja na mdogo wangu mwenye miaka 38

Bongo sihami
Mimi mwenyewe bado sijazaliwa.
 
Mpanzu atakuwa anacheza kwenye 28 amezidi sana basi 29.

Ishu ipo kwa Aucho, yani huyu jamaa basi tu wacha tusiongee tusije tukarushiwa mawe na fans wake
Tunapigwa sana,muda sasa umefika wa kununua kipimo cha umri,tunajidanganya kuacha wazee kusajili vijana kymbe tunarudisha wazee
 
Samatta atakuwa nac36-39
Msuvq 32-36
Mutale 26-30
Mpanzu 27-31
Aucho 32-37
Chama 32-36
Diara 29-34
Camara 25-31
N.k huo ndo umri wao lakini ukifatilia passport zao hapo hakuna mwenye 30 ! Kichekesho
 
Huku Africa mpaka leo kuna watu bado wanazaliwa nyumbani,Africa nchi nyingi hazina database ya raia wake.

Elly Mpanzu kuwa na miaka 22 !!!!. Mpanzu kama kazaliwa 2002 mimi nilishamaliza form six, lakini leo hii naonekana kijana kuliko yeye. Wazungu wana kipimo cha umri, si ajabu kilisoma 32 YEARS🥺

Yaleyale ya Amis Tambwe eti alikuwa na 23, Josh Onyango 22., wamekomaa kuliko Kikwete mwenye 74

Mudathir Yahya naye kutudanganya kuzaliwa 1996 wakati 2011 yuko Azam ya wakubwa,urongo

Ibrahim Ajibu alisoma darasa moja na mdogo wangu mwenye miaka 38

Mutale na Aucho mimi sina la kusema,aliyegundua supwr black amewasaidia sana,huwezi kuota uwaraza kama ule ukiwa na miaka 22

Muda sahihi wa kununua kipimo cha umri nchini,isije ikawa tunafukuza wazee na kusajili wazee

Bongo sihami
Kama vile tunavyoaminishwa kuwa Clement Mzize ana umri wa miaka 20, mwaka wa tatu huu kila mwaka haongezeki bado ana miaka hiyo hiyo 20.
 
Back
Top Bottom