Huenda hii ndio sababu ya Afande Sele, kugombana na wasanii wenzake

Ila hapo ktk rap angeweka hiphop ..hahahahahaha...maana wengi tunaishi ki hip hop ,misimamo kiasi..utulivu na umakini ..kuto kudharau mtu

Mengine yote yuko sawa
 
Ila hapo ktk rap angeweka hiphop ..hahahahahaha...maana wengi tunaishi ki hip hop ,misimamo kiasi..utulivu na umakini ..kuto kudharau mtu

Mengine yote yuko sawa
Yap, Nikiwa katika tafakuri nzito huwa napenda wimbo huu.
Madini ni mengi Sana.
 
Ilo andiko liko na FB vipi umempa credit muandaaji au ni wewe mwenyewe umeandika.
 
Hii ya kutaja majina kwa mistari isiyo na vina nadhani moja kwa moja ilikua kwa Crazy GK nyimbo yake ya Daima tupo pamoja ft Pauline Zongo.
 
Ushindi wa Selemani Msindi sijui aliupataje? Maana kipindi kile Prof Jay bado alikua wa moto na alishashinda tuzo nyingi kabla,
Solo Thang , Inspector na Jay Mo pia walistahili
 
Ushindi wa Selemani Msindi sijui aliupataje? Maana kipindi kile Prof Jay bado alikua wa moto na alishashinda tuzo nyingi kabla,
Solo Thang , Inspector na Jay Mo pia walistahili
Wewe ungempa nani tuzo hiyo?
 
Kutaja majina nyimbo nzima Kwa mistari isiyo na vina ilielekezwa kwa GK sio Bwana Misosi. Na baadae Afande na Gk walikuwa kupatana huku GK akisema hata yeye ana Imani ya kirastafari japo Hana Rasta huku akionesha culture aliyovaa mkononi yenye Rangi zinazotumiwa na Rastafarians.
Pia bifu ya Madee na Afande haikuanzia kweny ' ushindi wa ukali wa rhymes' ilianza baada ya Madee kutoa ngoma yake ya 'Hip hop hailipi' ambapo Afande aliidiss sana hiyo ngoma kweny mahojiano na bifu likaanzia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…