Huenda hii timu leo ikajaza mashabiki 350 tu badala ya 60,000!

Huenda hii timu leo ikajaza mashabiki 350 tu badala ya 60,000!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mpaka muda huu nawaona walinzi tu peke yao magetini, huku uwanjani kukiwa na watu wawili tu. Hivyo huenda wanasubiriwa hao 348 waliobakia ili mbungi lianze hiyo saa 10 kamili jioni.

Kuna timu moja nchini Tanzania (nimeisahau jina) yenyewe ingekuwa inacheza leo, basi mpaka saa 4 hii uwanja ungeshajaza mashabiki wake zaidi ya 35,000. Kwani ndiyo timu yenye mashabiki wasomi, matajiri na wenye akili timamu tofauti hii ya leo itakayojaza mashabiki 350 tu.

Kazi ipo!
 
Kwahiyo sasa hivi mmebadili upepo,si Al hilal ashinde ila ni Yanga ajaze uwanja!,Yanga akishinda muendelee kukomaa na ajenda yenu ya kutojaza uwanja!.

Aden Rage popote ulipo heshima yako mzee wangu![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo sasa hivi mmebadili upepo,si Al hilal ashinde ila ni Yanga ajaze uwanja!,Yanga akishinda muendelee kukomaa na ajenda yenu ya kutojaza uwanja!.

Aden Rage popote ulipo heshima yako mzee wangu![emoji23][emoji23][emoji23]
Kauli ya semaji la utopolo ilituhakikishia kwamba mpaka saa tatu asubui uwanja utakuwa umeshajaa ndio mana jenta anashangaa why
 
Kwahiyo sasa hivi mmebadili upepo,si Al hilal ashinde ila ni Yanga ajaze uwanja!,Yanga akishinda muendelee kukomaa na ajenda yenu ya kutojaza uwanja!.

Aden Rage popote ulipo heshima yako mzee wangu![emoji23][emoji23][emoji23]
Aden Rage aliona mbali
 
Mpaka muda huu nawaona walinzi tu peke yao magetini, huku uwanjani kukiwa na watu wawili tu. Hivyo huenda wanasubiriwa hao 348 waliobakia ili mbungi lianze hiyo saa 10 kamili jioni.

Kuna timu moja nchini Tanzania (nimeisahau jina) yenyewe ingekuwa inacheza leo, basi mpaka saa 4 hii uwanja ungeshajaza mashabiki wake zaidi ya 35,000. Kwani ndiyo timu yenye mashabiki wasomi, matajiri na wenye akili timamu tofauti hii ya leo itakayojaza mashabiki 350 tu.

Kazi ipo!
Na hapo kiingilio ni kidogo kuliko mechi ya Simba na Dodoma jiji
 
Kwahiyo sasa hivi mmebadili upepo,si Al hilal ashinde ila ni Yanga ajaze uwanja!,Yanga akishinda muendelee kukomaa na ajenda yenu ya kutojaza uwanja!.

Aden Rage popote ulipo heshima yako mzee wangu![emoji23][emoji23][emoji23]
Vp Matokeo
 
Back
Top Bottom