Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maulid anaenda Wasafi na kuna mmoja ataondoka pale kwenda Azam Media. Watagawana njia.Maulid mjanja wewe hawezi enda sehemu ambayo anaonabhaina maslahi kwake
Watu wanaangalia masilahi siyo mbwembwe za ukwasi wakati watu Ahmed Abdallah katoka Azam Media sasa hivi yuko zake Wasafi.Wee kivioi tena
Haya mambo magumu huyajui tulia uone mchezo. Watu wameanza kutoka Azam kwenda Wasafi Media unadhani wanaenda kuvaa vikuku kule au ni dau limekuwa kubwa zaidi.
Usipate wenge kwa sababu iko chini ya Bhakresa ila watu wanaenda kwa sababu ya masilahi yao.
Acha Wasafi itulie utaona wimbi kubwa la watu maarufu wakimwaga wino, E Fm itarudi nyuma kwa kasi ya 3G /kama hatua za mlevi 10 mbele 20 nyuma.Amen baba paroko umemweleza vema..
Kama namuona handle nae mguu ndani mguu nje
Aisee sawa sio mbaya watu wanachungulia maslahi
Watangazaji wakikaa kwa muda mrefu kwenye kipindi huweka mihuri isiyofutika kwa wasikilizaji wake. Leo wakianza kupotea kila mmoja huku na kule lazima hata wasikilizaji wayumbe kidogo.Nina imani kama ni kweli basi e fm watakimbiwa sana na clouds
Watangazaji wakikaa kwa muda mrefu kwenye kipindi huweka mihuri isiyofutika kwa wasikilizaji wake. Leo wakianza kupotea kila mmoja huku na kule lazima hata wasikilizaji wayumbe kidogo.
Ni kama timu ya mpira ikiwa na muunganiko wa kuelewana siku ukiuza unaanza upya.
E Fm inaenda kwenye hatua za kujenga timu kama Man United.
Mtangazaji akianza kuhamahama umaarufu huisha bila yeye kujua!
Mtangazaji wangu wa muda wote,
Oumilkheir Hamidou - Radio DW tangu 1979 to date!
Wakali wa hizi kazi.Kitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.
Wasafi wamedhamiria kufanya kile wanachotaka.Better aende Azam Tv ,huko wasafi atapotea njia
Hando yupo e fm muda tu mkuuKwani siku hizi Kipanya na Gerad Hando wapo E.FM? Walitoka lini Clouds?Siku nyingi sijasikiliza redio.
naomba email adress ya Musiba nimtie tiketi ya Burigi kwa niaba yako.
musibapopote@ccm.co.tznaomba email adress ya Musiba nimtie tiketi ya Burigi kwa niaba yako.