Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Sio miaka 100 tu ,haitakuja kutokea kupata raisi Kama Magufuli Africa
Ajengewe sanamu kila mkoa
Kajenge hilo sanamu nyumbani kwako na kijijini kwenu muendelee mimuabudu usiku na mchana na wa kwenu. Mikoani likiwekwa haswa huku kwetu tutalichoma moto mpaka liwe majivu. Huku tujengewe mengi kila mtaa na viniji ya Mwalimu Nyerere na moja tu la Kikwete. Ya huyo dictator mkajenge Chato na Rwanda kwao.
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Laana impate kikwete na familia yake kwa kutuondoshea bahati tuliyo kuwa tumeipata watz na waafrica maana magufuli alikuwa master key ya bara la africa wazungu na waasia alianza kupata hofu ya ufisadi wanao utekeleza africa kwa kupitia vibaraka wao serikalini
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
kama ni hivi itakuwa bora sana tena iwe zaidi ya miaka 2000 kusitokee kabisaa wa aina ya mhutu kama huyu
 
Mkuu acha kusifia hio kitu kabisa

Tulilishwa matango haswaa

Yaani tuliwahi hata kuaminishwa kua papai lina korona na watu tukaanza kuogopa kula mapapai

Mara mbuzi, mara oil chafu.

Miyeyusho mitupu!
ni akili yako tu ya kuogopa mapapai
 
Back
Top Bottom