Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Tumshukuru Mungu kwa kutuondolea majanga ikiwemo vimbunga,tufani na udikteta
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Huu ni upumbavu
 
Kwa maisha ya watanzania kwa vile wengi wanaishi kwa ujanja ujanja wanaweza kukuona kama umerukwa na akili lakini kwa watu ambao tunaitaji maendeleo ya nchi na Rais ambae kweli kutoka moyoni yupo serious kweli bhasi JPM alikuwa Rais (Kiongozi ) ambae kama Taifa tumepoteza mtu ambae pengo lake halizibiki kweli kweli
Ninyi mmekuwa mnaishi kiujanja na mwenzenu jiwe
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Hivi nyie WASUKUMA mkoje,kwanini mnapenda kujidharaulisha kiasi hiki
 
Kwa maisha ya watanzania kwa vile wengi wanaishi kwa ujanja ujanja wanaweza kukuona kama umerukwa na akili lakini kwa watu ambao tunaitaji maendeleo ya nchi na Rais ambae kweli kutoka moyoni yupo serious kweli bhasi JPM alikuwa Rais (Kiongozi ) ambae kama Taifa tumepoteza mtu ambae pengo lake halizibiki kweli kweli
Fanyeni kazi acheni blaa blaa.
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Hatutakubali tena kutawaliwa scoundrel mwingne kama mwendakuzimu
 
Mkuu, nchi kama UK wanalegeza masharti ya kujikinga na Covid-19 baada ya kufikia lengo walilojiwekea la immunization, idadi ya waliopata vaccine ni kubwa na wamecover wale wote waliokua kwenye risk.

Sio kwamba wanalegeza masharti bila data.
Mada imeishia hapa.....
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
KWELI KABISA

Mimi issue za covid nilikuwa namuelewa sana JPM sasahivi sielewi chochote lakini nafata aliyotuambia.

Lala Jemedari utakumbukwa sana
 
Yaani tupo raha kabisa na mama siku mia.Hakuna viroba baharini, utekaji wasiojulikana,watu kubambikwa kesi, kufilisiwa, kuporwa pesa zao kwenye akaunti.Japo hatuna kitu lkn tuna matumaini.
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
ni kwelii hatutapata rais kama jpm nikama ilivyo kwa marais wengine nao hatutakuja kuwapata!
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Zawadi ipi,ya kuua watu?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
mzee inaonesha unavuta sana bangi wewe mm ningekushauri tumiya cocaine unastarehe sana itakupeleka katika dunia nyengine kabisa. ivi kwa bangi zako huwo ushujaa wake umewasaidia nini wabongo halafu ujuwe alikuwa ikifuata ilani ya ccm na kwataarifa yako ccm inatawala Tanzania huu ni mwaka wa 60
 
Back
Top Bottom