Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Hivi wewe mpumbavu sana kumbe
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Never again Never kuongozwa na Mwendawazimu au legacy zake za hovyo. Never Never again..!
 
Kudadek....acheni masihala nyie. Yule hakua mtu. Alikua ni shetani kabisa. Binadamu asiye na huruma kwa kutaka watu waishi kwa hisia zake.

Unajua aliumiza wangapi? Alikua ni mtu mwenye roho mbaya asiyefaa kwenye jamii. Ni mtu mwenye wivu uliopitiliza. Dhuluma na chuki..

Aliua biashara za watu wengi sana. Aliharibu maisha ya watu wengi. Wahanga wa utawala wake hawaelewi moja wala mbili mpaka sasa

Kujenga jenga mavitu ndio mnaona alikua rais bora huku wananchi wakiangamia kiuchumi?

Kwa miaka 5 ya yule mtu, maisha yalikua ya tabu sana. Uhakika wa mlo mmoja ulikua ni wa tabu
Alikua Mwendawazimu .. haitatokea tena , tunataka katiba mpya ili kuzibiti hizi legacy za hovyo.
 
Mkuu acha kusifia hio kitu kabisa

Tulilishwa matango haswaa

Yaani tuliwahi hata kuaminishwa kua papai lina korona na watu tukaanza kuogopa kula mapapai

Mara mbuzi, mara oil chafu.

Miyeyusho mitupu!
Umewekeza mno kwa wazungu jinga weww
 
Kweli inaweza kuchua miaka 100 au isitokee kabisa iwapo Katiba ya Warioba ikipitishwa na kuwa sheria katika nchi hii. We should never go back to the darkest error of mwendazake ever again.
 
Pigia msitari. Hata kama sikubaliani na Musiba, hapo kwenye unafiki wa CCM alikuwa sahihi 100%
Ndivyo ilivyo yaani maana ukijaribu kuangalia watu kama kina Kingwangalla walivyokana taaluma zao kusema watu wajifukize...

Na miezi michache baadae wakisema tena mitambo ya nyungu ivunjwe utabaki kushangaa
 
Kujifungia ndio nini mkuu!?
Uzuri sisi wenye akili tulimpuuza na tukaendelea kula zetu mapapai na nyama ya mbuzi

Kujifugia ndani / Lockdown. Kutotoka nje ili usiambukizwe kolona.




Alimpuuza nani? ..Yeye aliona vipimo vinavyopimwa pale mmaabara vilikuwa fake baada ya kupeleka papai nalo likaonekana lina kolona wakati ni uongo. Wapi alikwambia usile papai? Akili zako zinamapungufu kidogo.
 
Utakuwa ni mpuuzi ukijifanya uyaoni kwa maana hata vipofu wameyaona nashangaa ww mwenye macho au macho unayatumia kwa kazi nyingine?
Acha propaganda chafu maendeleo sio condom hadi utie mkono mfukoni ndo uyaone
 
Kujifugia ndani / Lockdown. Kutotoka nje ili usiambukizwe kolona.




Alimpuuza nani? ..Yeye aliona vipimo vinavyopimwa pale mmaabara vilikuwa fake baada ya kupeleka papai nalo likaonekana lina kolona wakati ni uongo. Wapi alikwambia usile papai? Akili zako zinamapungufu kidogo.
Ukiona unaongea na mtu anashindwa hata kutamka au kuandika jina sahihi la ugonjwa wa korona ujue ni bure tu
Yaani korona unaita kolona!?
Pole sana
 
Majamaa yaliyotumbuliwa na JPM yatakuja hapa na matusi mengi ili yakupinge tu
Mimi maisha yangu yameboreka sana kipindi chake lakini sikuwai kuafiki ukatili ,uonevu na ubinafsi uliokuwa unaendelea.
Siyo miaka mia tu bali asitokee kabisa vizazi vyetu visije kutaabika na species kama hizo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Acgha uhuni na mihemko ya kisukuma!
Unamsemea;
mbaguzi, katili, mkabila/mkanda, mnyanyasaji, jeuri, uonevu, no maadili, mtaka sifa na kusifiwa! kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hapo ni ilikulazimu hadi uandike kabila lake?
 
Hawa washamba wanataka kulazimisha Jiwe aonekane alikuwa genious..kitu ambacho hakiwezekani.
kadri unavyozidi kuupinga ukweli, ndivyo unavyozidi kujiaibisha!

Utapinga mandiko mangapi yanayomhusu JPM?

Pale sabasaba, Sanamu lake linajengwa, anza mandamano kupinga pia hilo!!
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Watu ambao hawamkubali JIWE ni mafisadi wa kisiasa na mafisadi wa kiuchumi

Kama akina Mdude na wenzake wenye akili kama zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee!.
Kipengele cha Barakoa tu ndio unampa uhalali wa kusifia na kusahau mateso yote aliyowapa watu wengine.
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Alichokuacho yeye ni ujasiri tu wa kufanya mambo kinyume na kwa uharibifu. Yule alikuwa mwizi, mwongo, muuwaji na mshirikina. Kw kweli Tanzania haihitaji tena Rais Mwendawazimu kama Magufuli

Tusimpime Rais SSH kwa kiwango cha Mwendazake, huyo alikuwa ni FAILURE na LAANA kubwa. Tumshukuru Mungu kwa kumfurusha mapema maana tungefika hata 2023, tungekuwa the WORST country
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
unazungumzia kujifukiza?
 
Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.

Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.

Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Mfuateni huko jehanam mkateseke naye
 
Back
Top Bottom