Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Sio miaka 100 tu ,haitakuja kutokea kupata raisi Kama Magufuli Africa
Ajengewe sanamu kila mkoa
Ajengewe sanamu kila mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maisha ya watanzania kwa vile wengi wanaishi kwa ujanja ujanja wanaweza kukuona kama umerukwa na akili lakini kwa watu ambao tunaitaji maendeleo ya nchi na Rais ambae kweli kutoka moyoni yupo serious kweli bhasi JPM alikuwa Rais (Kiongozi ) ambae kama Taifa tumepoteza mtu ambae pengo lake halizibiki kweli kweli
Kuuuuuuuuumbe mi nilikuwa sijui hata.Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, JPM alikuwa zawadi kwa watanzania.
Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19, ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote
Pigia msitari. Hata kama sikubaliani na Musiba, hapo kwenye unafiki wa CCM alikuwa sahihi 100%
NilishayazoeaMajamaa yaliyotumbuliwa na JPM yatakuja hapa na matusi mengi ili yakupinge tu
Mkuu acha kusifia hio kitu kabisa
Bora godi kafanya yake ili kuondoa lawama
Tulilishwa matango haswaa
Yaani tuliwahi hata kuaminishwa kua papai lina korona na watu tukaanza kuogopa kula mapapai
Mara mbuzi, mara oil chafu
Miyeyusho mitupu!
Acgha uhuni na mihemko ya kisukuma!Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1 , mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020...alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.
Acha sifa za kijinga, yule alikuwa ni mtu muovu
Mzee alikuwa fix balaa. Eti Sapporo iko northern China kule. Sapporo iko Japan
Ewe mwana wa Adam, ni nani aliyekupa mamlaka ya kumuita bin Adam mwenzako muovu?
MUUAJI , MVUNJA KATIBA NA SHERIA, MPOTEZAJI WATU, MBAMBIKIA KESI, MPORAJI HELA ZA WAFANYABIASHARA via TRA Kama huyu itachukua miaka 100 kumpata. Mengine ni porojo tu.Watanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa watanzania.
Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.
Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020...alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.
Wallah wote humu JF tutakufa...na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.
Pia soma
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
Hakuna kulala, apate adhabu muda wote huko aliko kwa udhalimu aliowafanyia WatanzaniaAlale salama fashisti na dikteka uchwara jiwe.
Hawa washamba wanataka kulazimisha Jiwe aonekane alikuwa genious..kitu ambacho hakiwezekani.Mkuu, nchi kama UK wanalegeza masharti ya kujikinga na Covid-19 baada ya kufikia lengo walilojiwekea la immunization, idadi ya waliopata vaccine ni kubwa na wamecover wale wote waliokua kwenye risk,
Sio kwamba wanalegeza masharti bila data.
MaviKwa maisha ya watanzania kwa vile wengi wanaishi kwa ujanja ujanja wanaweza kukuona kama umerukwa na akili lakini kwa watu ambao tunaitaji maendeleo ya nchi na Rais ambae kweli kutoka moyoni yupo serious kweli bhasi JPM alikuwa Rais (Kiongozi ) ambae kama Taifa tumepoteza mtu ambae pengo lake halizibiki kweli kweli
Jenga,tuyavunje.Sio miaka 100 tu ,haitakuja kutokea kupata raisi Kama Magufuli Africa
Ajengewe sanamu kila mkoa
Pamoja na yoote.. bado unatembelea nyota ya hayati kwenye swala la korona. Kuwa na heshima na shukurani.Mkuu acha kusifia hio kitu kabisa
Tulilishwa matango haswaa
Yaani tuliwahi hata kuaminishwa kua papai lina korona na watu tukaanza kuogopa kula mapapai.
Mara mbuzi, mara oil chafu.
Miyeyusho mitupu!
😂😂😂😂😂😂 naomba Sample...Mavi