Kajenge hilo sanamu nyumbani kwako na kijijini kwenu muendelee mimuabudu usiku na mchana na wa kwenu. Mikoani likiwekwa haswa huku kwetu tutalichoma moto mpaka liwe majivu. Huku tujengewe mengi kila mtaa na viniji ya Mwalimu Nyerere na moja tu la Kikwete. Ya huyo dictator mkajenge Chato na Rwanda kwao.Sio miaka 100 tu ,haitakuja kutokea kupata raisi Kama Magufuli Africa
Ajengewe sanamu kila mkoa
Laana impate kikwete na familia yake kwa kutuondoshea bahati tuliyo kuwa tumeipata watz na waafrica maana magufuli alikuwa master key ya bara la africa wazungu na waasia alianza kupata hofu ya ufisadi wanao utekeleza africa kwa kupitia vibaraka wao serikaliniWatanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.
Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.
Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.
Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.
Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
kama ni hivi itakuwa bora sana tena iwe zaidi ya miaka 2000 kusitokee kabisaa wa aina ya mhutu kama huyuWatanzania tumepoteza bahati kubwa sana maishani, Hayati Magufuli alikuwa zawadi kwa Watanzania.
Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19 ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.
Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1, mwalimu, mkemia Daktari Magufuli alilegeza mashariti toka mwaka 2020 alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.
Wallah wote humu JF tutakufa na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.
Pia soma:
- Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza
kama ww ni mzalendo KUFAKupitia kifo cha Hayatty Magufuli nimejifunza kitu kikubwa Sana
Yaani ukiwa Mzalendo siku zako za kuishi zinahesabika
ni akili yako tu ya kuogopa mapapaiMkuu acha kusifia hio kitu kabisa
Tulilishwa matango haswaa
Yaani tuliwahi hata kuaminishwa kua papai lina korona na watu tukaanza kuogopa kula mapapai
Mara mbuzi, mara oil chafu.
Miyeyusho mitupu!
Mbona unanikomandi mkuu me nimetoa mawazo yanje tuukama ww ni mzalendo KUFA