Huenda Israel imemuua naibu wa Nasrallah aliyehutubia jana

Huenda Israel imemuua naibu wa Nasrallah aliyehutubia jana

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Duru ndani ya corridor za kijasusi ndani ya Israel na Lebanon zinatabanaisha kuwa huenda msaidizi wa gaidi aliyeuawa kwa haki na Israel aliyefahamika kwa jina la Nasrallah naye kauliwa usiku wa kuamkia leo.

Ikumbukwe, mapema jana alitoa hutuba ya kujikakamua eti wao kama magaidi wa Hezbollah bado wapo ngangari.
 
21019254_0-403-5500-3100.jpeg
 
Wenzenu wapo kwenye kilio nanyie muweke matanga uko kwenu. Udugu w damu ndio unavokuwa.
 
Hivi Israel Mtoa Roho ni muislam?

Maana huwa anaua waislam tu!
muham mad aka allah katangazia Wafuasi wake wawachukie Yahudi afu atawapa pepo!
Hivyo Yahudi Anajihami.
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Waache kukaa karibu na vifaa vya kielektroniki,technolojia sasa hivi imefika mbali sana watakwisha...
 
Duru ndani ya corridor za kijasusi ndani ya Israel na Lebanon zinatabanaisha kuwa huenda msaidizi wa gaidi aliyeuawa kwa haki na Israel aliyefahamika kwa jina la Nasrallah naye kauliwa usiku wa kuamkia leo.

Ikumbukwe, mapema jana alitoa hutuba ya kujikakamua eti wao kama magaidi wa Hezbollah bado wapo ngangari.

Hao mbona wako tayari kufa kuliko wanavyotaka kuishi?

Hao wana mtu 80 lined, kunakatwa mti wanapanda mti, mapambano yanaendelea.

IMG_20241009_155518.jpg


Vipi hao hawapo kwenye bandiko lako?

Unadhani familia zao leo zinajisikia je?
 
muham mad aka allah katangazia Wafuasi wake wawachukie Yahudi afu atawapa pepo!
Hivyo Yahudi Anajihami.
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Kukosa kwako maarifa umekataliwa na huyo mungu wako pia na si wewe pia na watoto wako.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
 
Kukosa kwako maarifa umekataliwa na huyo mungu wako pia na si wewe pia na watoto wako.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

IMG_20241009_175219.jpg
 
Inasikitisha Sana
Mtawamaliza Sasa Kuwauwa
Vita Ni Mbaya Sana Ndugu Zangu
 
Duru ndani ya corridor za kijasusi ndani ya Israel na Lebanon zinatabanaisha kuwa huenda msaidizi wa gaidi aliyeuawa kwa haki na Israel aliyefahamika kwa jina la Nasrallah naye kauliwa usiku wa kuamkia leo.

Ikumbukwe, mapema jana alitoa hutuba ya kujikakamua eti wao kama magaidi wa Hezbollah bado wapo ngangari.
Waakiristo wa jf wamepewa kazi maalum ya kusambaza propaganda Jf
 
Back
Top Bottom