Huenda Kanisa la Kiboko ya Wachawi likafunguliwa hivi karibuni; huduma kuendelea kama kawaida

Huenda Kanisa la Kiboko ya Wachawi likafunguliwa hivi karibuni; huduma kuendelea kama kawaida

Unaweza kusema ni suala la muda tu kabla kanisa la Kiboko ya Wachawi kufunguliwa na kuendelea na huduma kama kawaida. Matumaini haya yanatokana na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, ndugu Sixtus Mapunda ambaye amewaambia waumini wasiwe na wasiwasi wowote kuhusu kufungiwa kanisa lao. “Tunafahamu waumini wanaosali katika kanisa hili ni wapigakura wetu, hivyo suala hili halihitaji nguvu bali subira, waumini wasiwe na wasiwasi, tutamalizana tu”. Alisema.
View attachment 3057117

Waumini wa kanisa la Kiboko ya Wachawi wakiwa wameshikwa na butwaa baada ya kufika kanisani hapo na kukuta viti vyote vimeondolewa na hakuna huduma inayoendelea.

Sababu za kufunguliwa huduma zipo nyingi. Baadhi ya sababu hizo ni kama ifuatavyo:

Mosi, sio mara ya kwanza serikali kufungia huduma za kiroho na kisha kuzifungua baada ya kumalizana. Desemba, 2022 huko Kivule Matembele ya Pili, kanisa la Suguye liliwahi kufungiwa kwa mbwembwe kubwa kisha likafunguliwa kimyakimya na sasa huduma zinaunguruma kama kawaida.

Sababu za kufungiwa kanisa hilo hazitofautiani na hizi za Kiboko ya Wachawi. Yeye Suguye alikuwa anatoza Tsh 300,000 wakati huo, tofauti na Kiboko ya Wachawi anayetoza Tsh 500,000 wakati huu. Kwa hiyo, kuna imani kubwa ya Kiboko ya Wachawi naye kufunguliwa huduma baada ya kumalizana na serikali kama alivyosema DC Mapunda.

Pili, Kiboko ya Wachawi amepigwa faini kubwa ambayo anatakiwa kuilipa kabla huduma hazijarejeshwa. Haijawekwa wazi kiasi cha fedha kinachohitajika kulipwa lakini inasemekana serikali imemlima faini ya mamilioni ya fedha. Jana waumini wake walianza kuchangishana kiasi cha Tsh 5,000 kila mmoja kwa ajili ya kulipa faini hiyo.

Tatu, kama alivyosema DC, waumini wa kanisa hilo ni wapigakura wazuri, hvyo serikali isingetaka kuingia mgogoro wa wapigakura kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kisha uchaguzi mkuu mwaka 2025. Kila mtu anafahamu kuwa kipindi hiki serikali inakuwa karibu na wananchi kwa sababu ya kuepuka kuharibu kura. Na waumini wenye uelewa kama hawa wa Kiboko ya Wachawi ni mtaji mkubwa wa kisiasa. Sio wa kuwabeza hata kidogo.

Nne, mojawapo ya masharti ya kufunguliwa ni kumuonya Kiboko ya Wachawi aache mahubiri ya ramli chonganisha na yenye kudhalilisha hadhi ya wanawake. Kwa mfano, kuna clip moja Kiboko ya Wachawi aliwahi kusikika akisema eti yeye akiona chupi ya waumini wake lazima aichungulie hataogopa kama waumini wengine wanavyoogopa. Hapa alikuwa akiwapiga vijembe manabii wengine kama vile Mzee wa Upako, Mwamposa, GeoDevie na wengine wanaoogopa kuchungulia chupi za waumini wao pale wanapokuwa wamekaa vibaya kanisani.

Kwa sababu hiyo, Kiboko ya Wachawi sharti afunguliwe huduma lakini atatakiwa kufuata masharti ya serikali. Na ili serikali ione kama kweli masharti yake yanatimizwa, sharti imfungulie halafu imfuatilie kama kweli anatimiza au la.

Tano, sote tunafahamu kuwa serikali haina dini na kwa maana hiyo haipaswi kuingilia mambo ya dini bali kutoa maonyo pale inapohitajika. Hivyo basi, serikali haiwezi na haijawahi kufungia huduma za kiroho kwani kufanya hivyo itakuwa imeingilia mambo ya imani.

Kwa sababu hizi na nyingine ambazo bado hazijawekwa wazi, ni dhahiri kuwa huduma ya Kiboko ya Wachawi ipo mbioni kufunguliwa siku yoyote kuanzia leo baada ya faini kulipwa. Na kwa sababu waumini wameishaanza mchakato wa kuchangishana, ni suala la muda tu kabla Kiboko ya Wachawi kuanza kuunguruma tena kama ilivyokuwa mwanzo.
Sababu ya kufunguliwa ni kwamba wanatoa rushwa kubwa. Kitu kinaonekama kabisa sio kanisa unawezaje kukiruhu kama kanisa. Lazima kutambua hii ni mission kama ile kueneza ushoga ambayo kutokana na kufadhiliwa nje wana fedha nyingi hadi kuweza kudumu hadi kugeuza vijana mamia mashoga. Hili la makanisa ni kuleta vurugu na kuwazubaisha raia kutumia akili na kufanya kazi ili wabakie masikini kwa faida ya mabeberu wenye kutaka kufaidi mali asili ya nchi zetu.
 
Sababu ya kufunguliwa ni kwamba wanatoa rushwa kubwa. Kitu kinaonekama kabisa sio kanisa unawrzaje kukiruhu kama kanisa. Lazima kutambua hii ni misdion kama ile kueneza ushoga ambayo kutokana kufadhilia nje wana fedha nyingi imeduma hadi kugeuza vijana mamia mashoga. Hili la makanisa ni kuleta vurugu na kuwazubaisha raia kutumia akili na kufanya kazi ili wabakie masikini kwa faida ya mabeberu wenye kutaka kufaidi mali asili ya nchi zetu.
Mkuu unapaswa kutambua kuwa serikali haina dini. Serikali inaweka miongozo tu lakini haiwezi kuwazuia wananchi kufuata kile wanachokipenda. Haina mamlaka ya kufuta huduma ya kiroho bali kutoa miongozo tu na kuwaacha waumini waendelee na utaratibu wao wa maisha bila kuingiliwa na mtu yeyote.
 
Unaweza kusema ni suala la muda tu kabla kanisa la Kiboko ya Wachawi kufunguliwa na kuendelea na huduma kama kawaida. Matumaini haya yanatokana na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, ndugu Sixtus Mapunda ambaye amewaambia waumini wasiwe na wasiwasi wowote kuhusu kufungiwa kanisa lao. “Tunafahamu waumini wanaosali katika kanisa hili ni wapigakura wetu, hivyo suala hili halihitaji nguvu bali subira, waumini wasiwe na wasiwasi, tutamalizana tu”. Alisema.
View attachment 3057117

Waumini wa kanisa la Kiboko ya Wachawi wakiwa wameshikwa na butwaa baada ya kufika kanisani hapo na kukuta viti vyote vimeondolewa na hakuna huduma inayoendelea.

Sababu za kufunguliwa huduma zipo nyingi. Baadhi ya sababu hizo ni kama ifuatavyo:

Mosi, sio mara ya kwanza serikali kufungia huduma za kiroho na kisha kuzifungua baada ya kumalizana. Desemba, 2022 huko Kivule Matembele ya Pili, kanisa la Suguye liliwahi kufungiwa kwa mbwembwe kubwa kisha likafunguliwa kimyakimya na sasa huduma zinaunguruma kama kawaida.

Sababu za kufungiwa kanisa hilo hazitofautiani na hizi za Kiboko ya Wachawi. Yeye Suguye alikuwa anatoza Tsh 300,000 wakati huo, tofauti na Kiboko ya Wachawi anayetoza Tsh 500,000 wakati huu. Kwa hiyo, kuna imani kubwa ya Kiboko ya Wachawi naye kufunguliwa huduma baada ya kumalizana na serikali kama alivyosema DC Mapunda.

Pili, Kiboko ya Wachawi amepigwa faini kubwa ambayo anatakiwa kuilipa kabla huduma hazijarejeshwa. Haijawekwa wazi kiasi cha fedha kinachohitajika kulipwa lakini inasemekana serikali imemlima faini ya mamilioni ya fedha. Jana waumini wake walianza kuchangishana kiasi cha Tsh 5,000 kila mmoja kwa ajili ya kulipa faini hiyo.

Tatu, kama alivyosema DC, waumini wa kanisa hilo ni wapigakura wazuri, hvyo serikali isingetaka kuingia mgogoro wa wapigakura kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kisha uchaguzi mkuu mwaka 2025. Kila mtu anafahamu kuwa kipindi hiki serikali inakuwa karibu na wananchi kwa sababu ya kuepuka kuharibu kura. Na waumini wenye uelewa kama hawa wa Kiboko ya Wachawi ni mtaji mkubwa wa kisiasa. Sio wa kuwabeza hata kidogo.

Nne, mojawapo ya masharti ya kufunguliwa ni kumuonya Kiboko ya Wachawi aache mahubiri ya ramli chonganisha na yenye kudhalilisha hadhi ya wanawake. Kwa mfano, kuna clip moja Kiboko ya Wachawi aliwahi kusikika akisema eti yeye akiona chupi ya waumini wake lazima aichungulie hataogopa kama waumini wengine wanavyoogopa. Hapa alikuwa akiwapiga vijembe manabii wengine kama vile Mzee wa Upako, Mwamposa, GeoDevie na wengine wanaoogopa kuchungulia chupi za waumini wao pale wanapokuwa wamekaa vibaya kanisani.

Kwa sababu hiyo, Kiboko ya Wachawi sharti afunguliwe huduma lakini atatakiwa kufuata masharti ya serikali. Na ili serikali ione kama kweli masharti yake yanatimizwa, sharti imfungulie halafu imfuatilie kama kweli anatimiza au la.

Tano, sote tunafahamu kuwa serikali haina dini na kwa maana hiyo haipaswi kuingilia mambo ya dini bali kutoa maonyo pale inapohitajika. Hivyo basi, serikali haiwezi na haijawahi kufungia huduma za kiroho kwani kufanya hivyo itakuwa imeingilia mambo ya imani.

Kwa sababu hizi na nyingine ambazo bado hazijawekwa wazi, ni dhahiri kuwa huduma ya Kiboko ya Wachawi ipo mbioni kufunguliwa siku yoyote kuanzia leo baada ya faini kulipwa. Na kwa sababu waumini wameishaanza mchakato wa kuchangishana, ni suala la muda tu kabla Kiboko ya Wachawi kuanza kuunguruma tena kama ilivyokuwa mwanzo.
CCM huwaza uchaguzi tu Wala hakuna kingine
 
Hii taarifa imenichukiza sana, huyo jamaa atimuliwe nchi hii anaaibisha Wakristo na Ukristo kwa ujumla kanisa itapendeza sana likachomwa na moto hao waumini wakatafute makanisa mengine wamuabudu Mungu mkuu alie juu.
 
Kazi yoyote ya chama cha siasa ni kushinda uchaguzi, si vinginevyo.
Sio kweli mzee Kama upo hivyo wewe ni kundi Moja na CCM ( mjinga) kiuongozi ukichaguliwa ukawafanyia vizuri waliokuchagua huhitaji chawa Wala mwijaku haya yote yanakuja baada ya kufeli kiuongozi.
 
Hii taarifa imenichukiza sana, huyo jamaa atimuliwe nchi hii anaaibisha Wakristo na Ukristo kwa ujumla kanisa itapendeza sana likachomwa na moto hao waumini wakatafute makanisa mengine wamuabudu Mungu mkuu alie juu.
Tatizo serikali ya CCM inapenda wananchi mbumbumbu kama hawa ili iendelee kuwakamua kama ng'ombe bila kuwapa malisho. Ndio maana serikali haiwezi kuthubutu kamwe kufuta huduma. Badala yake itawaacha waendelee kuibiwa sadaka na kutopea kwenye umasikini mamboleo ili watawalike kwa urahisi.
 
Sio kweli mzee Kama upo hivyo wewe ni kundi Moja na CCM ( mjinga) kiuongozi ukichaguliwa ukawafanyia vizuri waliokuchagua huhitaji chawa Wala mwijaku haya yote yanakuja baada ya kufeli kiuongozi.
Wewe unadhani chama na serikali wanalenga kuboresha maisha ya wananchi?
 
Itakuwa nchi ya hovyo haijawahi kutokea. Au kashapewa rushwa huyo?
 
Huyo waziri wa mambo ya ndani ameulizwa kuhusu hiyo issue
Amesema hakuna barua ya kufunga kanisa iliyofika ofisini kwake
Huyo Waziri ukimuangalia tu Kichwa chake kilivyo, Zungumza yake na Macho yake hadi alivyo alivyo tu yeye Mwenyewe unaona ana Akili sawa sawa?
 
Back
Top Bottom