Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Yeye ni mamlaka ya rufaa, ambaye hajaridhika na maamuzi ya msajiri ndio anakata rufaa kwa waziri.Huyo waziri wa mambo ya ndani ameulizwa kuhusu hiyo issue
Amesema hakuna barua ya kufunga kanisa iliyofika ofisini kwake