Huenda Kanisa la Kiboko ya Wachawi likafunguliwa hivi karibuni; huduma kuendelea kama kawaida


Kiboko ya wachawi = zumaridi. Kama wako sawa kwa nini mmoja umfungie na mwingine umuache. Serikali yenyewe haina dini, yaani kwa lugha nyingine ni serikali ya kipagani.
 
Mkuu umeongea jambo la ukweli kabisa. Nyani haoni kundule. CCM hawaoni tozo zao, wanaona za Kiboko ya Wachawi tu!
 
Your browser is not able to display this video.

Huyu mpumbavu badala akae kimya anaendelea kuwatukana waumini wake na kuibagaza serikali.
 
jamaa ni mkongoman..
enzi za jiwe, wange kuja kwanza uhamiaji, mara apewe kesi ya kutakatisha pesa haramu... hadi ange ondoka mwenyewe.
Huyo jiwe mieyusho tena hiki kipibdi cha kampeni angemrudisha chap nadhani unajua akivyokua mpenda sifa mtukufu mungu in profesa kabudi chawacracy syndrome
 
Huyu jamaa ipo siku atarudi Tanganyika na kuanza kupiga hela tena. Mungu ampe nguvu Rais MamaSamia2025 ampe ruhusa ya kurudi nchini kuwatumikia wapigakura wake. Amen.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…