uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Ndugu zangu wanayanga na watz wengine wenye mapenzi mema na mpira wa nchi yetu
Wote Leo tumeshuhudia mechi ya nusu final Crdb ukienda live hewani kutokea pale Geneva ya afrika (Arusha)
Ndugu zangu ule uwanja ulikuwa ni tusi aibu na fedheha kwa soka la nchi yetu
Siwezi andika mengi lakini ule uwanja haufai hata kwa mashindano ya umisseta Wala umitashumita
Mda huu Zamaleki inacheza na Berkane katika uwanja halisi wa mpira na sio kile kituko Cha Karia na ndugu zake
Sio kwamba nchi yetu Haina uwanja mzuri (Mkapa,Azam,au ule wa pale Manyara (binafsi sio ule utaopigwa final ambao nao ni fedheha nyingine)lakini Karia aliamua nusu final ichezwe mwanza kwa Azam na coastal ambayo nayo ilikuwa mechi ya kituko na nyingine Arusha
KARIA JUA LEO UMEIDHARILISHA NCHI YETU.
Ngoja niendelee kuangalia Cafcc soka safi kwenye uwanja safi
Wote Leo tumeshuhudia mechi ya nusu final Crdb ukienda live hewani kutokea pale Geneva ya afrika (Arusha)
Ndugu zangu ule uwanja ulikuwa ni tusi aibu na fedheha kwa soka la nchi yetu
Siwezi andika mengi lakini ule uwanja haufai hata kwa mashindano ya umisseta Wala umitashumita
Mda huu Zamaleki inacheza na Berkane katika uwanja halisi wa mpira na sio kile kituko Cha Karia na ndugu zake
Sio kwamba nchi yetu Haina uwanja mzuri (Mkapa,Azam,au ule wa pale Manyara (binafsi sio ule utaopigwa final ambao nao ni fedheha nyingine)lakini Karia aliamua nusu final ichezwe mwanza kwa Azam na coastal ambayo nayo ilikuwa mechi ya kituko na nyingine Arusha
KARIA JUA LEO UMEIDHARILISHA NCHI YETU.
Ngoja niendelee kuangalia Cafcc soka safi kwenye uwanja safi