Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliona mkuuHuu uwanja ilifanyika hapo may mosi ukaharibika sana yakafanyika marekebisho ya zimamoto Leo mpira ulikuwa unadunda hatari
Mentality za kitoto sana hizi,Mtoto hutambaa kwanza kabla hajatembea Kisha kukimbia
Ikiwa wanataka mechi zichezwe mikoani subra ivutwe kumbuka 2027 sio mbali
Arusha Dom kutakuwa na viwanja Bora mechi zichezwe wakati huo sio Sasa
Angalia hii final ya Cafcc utaona maana ya uwanja mzuri
We huna akili kabisa, majinuni mkubwa yani sababu hujui kama utakuwepo basi Kila kitu kifanyike LeoMentality za kitoto sana hizi,
Kwahyo tusipikie mkaa kisa tukipata mshahara tunataka kununua jiko la gesi..? Hivi mna akili timamu kweli kutaka kusubiri mambo ya future ambazo hamna uhakika kama mtakuwepo au yatafanyika kama mnavyowaza.??
Si umeona ulivyo immature, kama fala hivi. Kwenye kuvunjia heshima watu wengine mara nyingi unajivunjia heshima na wewe mwenyewe.We huna akili kabisa majinuni yani sababu hutakuwepo basi Kila kitu kifanyike Leo
Punguani wahead kabisa LI uwanja may mosi imeharibu pitch Leo unapeleka hapo mchezo muhimu kisa hujui kama 2027 hutakuwepo bila shaka utakuwa umebeba tumbo kubwa limenyonya ubongo na matako malaini yanayotikisika hovyo
Unatekenyeka na mavhi punguani kabisaSi umeona ulivyo immature, kama fala hivi. Kwenye kuvunjia heshima watu wengine mara nyingi unajivunjia heshima na wewe mwenyewe.
Kwa nini selikari isichukue hiv viwanja kama CCM wameshindwa kuviboeshaNdugu zangu wanayanga na watz wengine wenye mapenzi mema na mpira wa nchi yetu
Wote Leo tumeshuhudia mechi ya nusu final Crdb ukienda live hewani kutokea pale Geneva ya afrika (Arusha)
Ndugu zangu ule uwanja ulikuwa ni tusi aibu na fedheha kwa soka la nchi yetu
Siwezi andika mengi lakini ule uwanja haufai hata kwa mashindano ya umisseta Wala umitashumita
Mda huu Zamaleki inacheza na Berkane katika uwanja halisi wa mpira na sio kile kituko Cha Karia na ndugu zake
Sio kwamba nchi yetu Haina uwanja mzuri (Mkapa,Azam,au ule wa pale Manyara (binafsi sio ule utaopigwa final ambao nao ni fedheha nyingine)lakini Karia aliamua nusu final ichezwe mwanza kwa Azam na coastal ambayo nayo ilikuwa mechi ya kituko na nyingine Arusha
KARIA JUA LEO UMEIDHARILISHA NCHI YETU.
Ngoja niendelee kuangalia Cafcc soka safi kwenye uwanja safi
Inafikirisha sana kifupi ccm ni serikali kwa hiyo hawawezi kuchukua Mali zao labda akija kiongozi mwingine anaweza kuhoji endapo wakati vinajengwa vilijengwa kwa hela ya chama au mapato ya nchiKwa nini selikari isichukue hiv viwanja kama CCM wameshindwa kuviboesha
Yaani inakera sana.
Ccm ina viwanja nchi nzima basi ipange mkakati wa kuviboresha hv viwanja angalau wafanye kwa awamu hata kila baada ya miaka miwili pesa wanazopata kama chama waboreshe kiwanja kimoja
Na kama wakishindwa wavibinafsishe kwa selikari
ni mambo ya ajabu kabisa,uwanja una mabonde sijapata kuonaNdugu zangu wanayanga na watz wengine wenye mapenzi mema na mpira wa nchi yetu
Wote Leo tumeshuhudia mechi ya nusu final Crdb ukienda live hewani kutokea pale Geneva ya afrika (Arusha)
Ndugu zangu ule uwanja ulikuwa ni tusi aibu na fedheha kwa soka la nchi yetu
Siwezi andika mengi lakini ule uwanja haufai hata kwa mashindano ya umisseta Wala umitashumita
Mda huu Zamaleki inacheza na Berkane katika uwanja halisi wa mpira na sio kile kituko Cha Karia na ndugu zake
Sio kwamba nchi yetu Haina uwanja mzuri (Mkapa,Azam,au ule wa pale Manyara (binafsi sio ule utaopigwa final ambao nao ni fedheha nyingine)lakini Karia aliamua nusu final ichezwe mwanza kwa Azam na coastal ambayo nayo ilikuwa mechi ya kituko na nyingine Arusha
KARIA JUA LEO UMEIDHARILISHA NCHI YETU.
Ngoja niendelee kuangalia Cafcc soka safi kwenye uwanja safi
Karia ni mmoja tu ,kazi ya kujenga uwanja sio ya shirikisho ,team zenu ziwe na viwanja.Hakuna Raisi au mwenyekiti wa Tff amefanya robo ya karia kwenye mpira wetu,sio mpaka mtu aondoke ndio muanze kumuimbaNdugu zangu wanayanga na watz wengine wenye mapenzi mema na mpira wa nchi yetu
Wote Leo tumeshuhudia mechi ya nusu final Crdb ukienda live hewani kutokea pale Geneva ya afrika (Arusha)
Ndugu zangu ule uwanja ulikuwa ni tusi aibu na fedheha kwa soka la nchi yetu
Siwezi andika mengi lakini ule uwanja haufai hata kwa mashindano ya umisseta Wala umitashumita
Mda huu Zamaleki inacheza na Berkane katika uwanja halisi wa mpira na sio kile kituko Cha Karia na ndugu zake
Sio kwamba nchi yetu Haina uwanja mzuri (Mkapa,Azam,au ule wa pale Manyara (binafsi sio ule utaopigwa final ambao nao ni fedheha nyingine)lakini Karia aliamua nusu final ichezwe mwanza kwa Azam na coastal ambayo nayo ilikuwa mechi ya kituko na nyingine Arusha
KARIA JUA LEO UMEIDHARILISHA NCHI YETU.
Ngoja niendelee kuangalia Cafcc soka safi kwenye uwanja safi