Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 May 20, 2024 #41 Nkolandoto said: Mpaka ccm inyang'angwe viwanja vitabaki hivo hivo siku zote Click to expand... Hawa wapuuzi ndiyo chanzo kikuu cha ubovu wa viwanja vingi nchini! Na hii ni baada tu ya kukwapua viwanja vyote vilivyojengwa kwa manufaa ya wananchi wote; na hivyo kuvigeuza kuwa vya kwao, na wakati huo huo wakishindwa kuviendeleza.
Nkolandoto said: Mpaka ccm inyang'angwe viwanja vitabaki hivo hivo siku zote Click to expand... Hawa wapuuzi ndiyo chanzo kikuu cha ubovu wa viwanja vingi nchini! Na hii ni baada tu ya kukwapua viwanja vyote vilivyojengwa kwa manufaa ya wananchi wote; na hivyo kuvigeuza kuwa vya kwao, na wakati huo huo wakishindwa kuviendeleza.