Huenda kiongozi wa Wagner wa Urusi kashikiliwa mateka

Huenda kiongozi wa Wagner wa Urusi kashikiliwa mateka

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwa mtu mtu mwenye msimamo Kama yeye na uelewa mpana asingeweza kukubali kirahisi hivyo kufikia makubaliano tata.

Ilichokifanya Urusi ni kuongea na watu wa karibu wamdhibiti kisha wampeleke Belarus na kuandaa propaganda zisizowezekana.

Hawezi kuamini kirahisi kinachosemwa na Urusi na kukubali kukitekeleza

Hakuna uwezekano wa makubaliano rahisi kiasi hicho kipindi ambacho yeye hajulikani alipo, anafanya Nini.

Maagizo yanayotolewa kwenye acc zake za mitandao ya kijamii huenda yanatolewa na watu waliomdhibiti au yeye chini ya shinikizo kubwa.
 
Kwa mtu mtu mwenye msimamo Kama yeye na uelewa mpana asingeweza kukubali kirahisi hivyo kufikia makubaliano tata.

Ilichokifanya Urusi ni kuongea na watu wa karibu wamdhibiti kisha wampeleke Belarus na kuandaa propaganda zisizowezekana.

Hawezi kuamini kirahisi kinachosemwa na Urusi na kukubali kukitekeleza

Hakuna uwezekano wa makubaliano rahisi kiasi hicho kipindi ambacho yeye hajulikani alipo, anafanya Nini.

Maagizo yanayotolewa kwenye acc zake za mitandao ya kijamii huenda yanatolewa na watu waliomdhibiti au yeye chini ya shinikizo kubwa.

Hilo ni dhahili. Muasi haachwagi salama hata kidogo. Maana anaweza kuharibu zaidi.
 
Kwa mtu mtu mwenye msimamo Kama yeye na uelewa mpana asingeweza kukubali kirahisi hivyo kufikia makubaliano tata.

Ilichokifanya Urusi ni kuongea na watu wa karibu wamdhibiti kisha wampeleke Belarus na kuandaa propaganda zisizowezekana.

Hawezi kuamini kirahisi kinachosemwa na Urusi na kukubali kukitekeleza

Hakuna uwezekano wa makubaliano rahisi kiasi hicho kipindi ambacho yeye hajulikani alipo, anafanya Nini.

Maagizo yanayotolewa kwenye acc zake za mitandao ya kijamii huenda yanatolewa na watu waliomdhibiti au yeye chini ya shinikizo kubwa.
Walimblackmail akiendelea na mapinduzi yake watawaua familia yake jamaa akaamua kusitisha.
 
Unatangaza Mapinduzi ya kupindua Rais halafu Rais mwenyewe Vladmir halafu unakatiza Miji kwa miji hadi unateka kituo kikuu cha Kijeshi katika moja ya miji …cha kushangaza zaid hakuna hata sehemu moja walikutana na kizuizi

kabakisha Km 200 kufika mji mkuu mwenyewe anaahirisha Mapinduzi

NATO bado inatafakari na mitazamo tofauti inaendelea kujadiliwa

inasemekana Vladmir alitaka kutumia njia hiyo kama vile kapoteza ushawishi kwny vinu vya Nucleur ili kazi ya kuharibu kizazi ikianza walaumiwe Wagner

wapo wengine wanadai Wagner waliomba waongezewe Silaha kwa wingi waje wamgeuke Vladmir akawastukia mapema ndio sababu akawa anawanyima Silaha pamoja na kuonesha mafanikio vitani

Sasa hivi wa Chechnia wanaonesha mafanikio zaid na ndio anawatumia vitani
 
Alikosea kukubali rudisha majeshi nyuma, yeye angesonga mbele liwalo na liwe.

Kawaachia msala wenzake na familia zao
Unajiandaa kuvunja mlango ukaibe lakini kabla hujauvunja unakuta kwa ndani umefunguliwa ili uibe kwa urahisi …wewe utaendelea?

unajiandaa kupapasa wallet ya Jamaa kwny mfuko wa nyuma kwny daladala jamaa anachomoa wallet anaifungua bila ya kukutazama wewe utaendelea na mipango ?

pale kuna mengi ya kutafakari na hata kina Biden walijizuia kutoa statement na badala yake walizungumza na kujadiliana juu kwa juu
 
mm
IMG_20230624_190816.jpg
Coupe kama coupe 😄😄😄
 
Back
Top Bottom