TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hiyo ndio Russia sasa. Kila Taifa linatafakari kivyakeHili jambo limevuruga kila taifa,hakuna anayeelewa kilichotokea!
Urusi mwenyewe aliposikia kombora limetua kijiji cha Poland alianza kujiharishia alijua kipengele no 5 cha NATO kitahusika akawahi kukanusha hahusikiSiku mtasikia WAGNER wameibukia Poland hamtaamini alafu Russia itapambana na NATO Indirectly vile vile kama NATO inavyofanya UKRAINE mark my word....
Ulikuwepo eneo la tukio ?Coup haijafyatuliwa hata risasi moja
Warusi wa Chamanzi wana nguvu ya maneno kumzidi PutinUrusi mwenyewe aliposikia kombora limetua kijiji cha Poland alianza kujiharishia alijua kipengele no 5 cha NATO kitahusika akawahi kukanusha hahusiki
Mkuu umenichekesha sanaUnajiandaa kuvunja mlango ukaibe lakini kabla hujauvunja unakuta kwa ndani umefunguliwa ili uibe kwa urahisi …wewe utaendelea?
unajiandaa kupapasa wallet ya Jamaa kwny mfuko wa nyuma kwny daladala jamaa anachomoa wallet anaifungua bila ya kukutazama wewe utaendelea na mipango ?
pale kuna mengi ya kutafakari na hata kina Biden walijizuia kutoa statement na badala yake walizungumza na kujadiliana juu kwa juu
Faida yake ni ipi?Ndio Putin na Prigo walikuwa wanacheza na hisia zenu.
Chanza chako Cha habari ni kipi!?Walimblackmail akiendelea na mapinduzi yake watawaua familia yake jamaa akaamua kusitisha.
Bibi yangu mwenyewe mzaa babuChanza chako Cha habari ni kipi!?
CIA wanamshauri, Hawa si ndio wanamtafuta prigo? Kawa mtamu Sasa?Na CIA wamemshauri Prigo achukue tahadhari dhidi ya Urusi. Na wanadai walikuwa na clue juu ya like tukio.
Dah! Duniani kuna 'michezo' mingi