Huenda kuna Timu ndani ya Mwezi Mtukufu huu isishinde tena Mechi zake, kwani hata Majini yao hatari huuheshimu huu Mwezi!

Huenda kuna Timu ndani ya Mwezi Mtukufu huu isishinde tena Mechi zake, kwani hata Majini yao hatari huuheshimu huu Mwezi!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
 
Sorry GENTAMYCINE kwa Kuwa najua watu Wengi watakuja hapa Kuna ujumbe nataka kuutoa.

Enyi Wanaume Ongezeni Dau kwa wanawake waweze kujitibu.. Leo nimefika hospital Fulani wanawake Wengi sana wagonjwa hapa. Nikawaza hizi Ten ten tunawapa hazitawatosha siku wanaumwa.

Sorry kwa kuvamia Uzi
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ( Ramadan ) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare / Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah ( Mungu ) kwa Mikafara ya Hatari ( ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani ) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama ( Points ) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi nae anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo.....!!!!!!
Majini ya siku hizi hybrid hayaogopi pombe wala kitimoto vurugu mechi,,na siku hizi wana mtindo wa kupigiana pasi kuna wakina bwana asifiwe wanayafuga pia,,,huku wakiyapumzisha huku wanaendeleza
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ( Ramadan ) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare / Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah ( Mungu ) kwa Mikafara ya Hatari ( ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani ) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama ( Points ) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi nae anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo.....!!!!!!
Usije ukarudi hapa ukaanza kuukana uzi wako..!!! Maana kuna siku hapa ulidai account yako imevamiwa, kiasi kwamba waliovamia wakaandika nyuzi ambazo huzitambui..!! Time will tell
 
Sorry GENTAMYCINE kwa Kuwa najua watu Wengi watakuja hapa Kuna ujumbe nataka kuutoa.

Enyi Wanaume Ongezeni Dau kwa wanawake waweze kujitibu.. Leo nimefika hospital Fulani wanawake Wengi sana wagonjwa hapa. Nikawaza hizi Ten ten tunawapa hazitawatosha siku wanaumwa.

Sorry kwa kuvamia Uzi
Umeshindwa kuuanzisha Uzi wako ili Ulielezee hili Kiundani kabisa hadi Uwasilishe kwa kupitia Lifti tukuka ya huu Uzi wangu na Umaarufu wangu mkubwa hapa JamiiForums?
 
Nyie ndo Wachawi wa kwanza hii TZ na ndiyo maana mmekimbia game. Hahaha

1710149126079.png
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
Hawa watakua Yanga bila shaka🤣🤣ntela hamwe
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
Kwan hujui kuna mapumziko ya ligi kuanzia 17 march mpaka Aprili 12.?
 
Hizi ndio mada zinazopendwa
Hasa zikianzishwa na Member anayependwa, anayesomwa, nwenye mvuto wake wa kipekee wa Uwasilishaji wa Mada Mtambuka hapa JamiiForums, Mshindi wa Tuzo ya Fedha na Zawadi kutoka JamiiForums kwa kuwa Mshindi wa Shindano la Jukwaa la Michezo ( Sports ) kwa msimu wa mwaka 2022/2023 na anayesomwa sana na Rais Samia, Balozi Genius Dk. Wilbroad Slaa, 70%. ya TISS and TPDF Staff, 95% ya Waandishi wa Habari nchini na Wasomi wa Vyuo Vikuu na wengine wengi ambaye ni GENTAMYCINE Mimi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Kudadadeki.
 
Mweto, Mkaruka, Sokolo,Ndugu yangu...@GENTAMYCINE ......heshimu kidogo basi Mwezi wetu Mtukufu.
 
Back
Top Bottom