GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.
Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.
Kazi ipo!
Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.
Kazi ipo!