Huenda kuna Timu ndani ya Mwezi Mtukufu huu isishinde tena Mechi zake, kwani hata Majini yao hatari huuheshimu huu Mwezi!

Huenda kuna Timu ndani ya Mwezi Mtukufu huu isishinde tena Mechi zake, kwani hata Majini yao hatari huuheshimu huu Mwezi!

Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
Subira huvuta kheri
 
Hasa zikianzishwa na Member anayependwa, anayesomwa, nwenye mvuto wake wa kipekee wa Uwasilishaji wa Mada Mtambuka hapa JamiiForums, Mshindi wa Tuzo ya Fedha na Zawadi kutoka JamiiForums kwa kuwa Mshindi wa Shindano la Jukwaa la Michezo ( Sports ) kwa msimu wa mwaka 2022/2023 na anayesomwa sana na Rais Samia, Balozi Genius Dk. Wilbroad Slaa, 70%. ya TISS and TPDF Staff, 95% ya Waandishi wa Habari nchini na Wasomi wa Vyuo Vikuu na wengine wengi ambaye ni GENTAMYCINE Mimi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Kudadadeki.
[emoji23][emoji23]Genta unasifa wewe Mnyamulenge
 
Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
Anza kuikana post yako mapema..!!! Saidiwa na Kalpana, Mshana Jr , cocastic Et El kwenye kuikana post yako
 
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali kutumika kuchuma Dhambi za Makusudi kwa Allah (Mungu) kwa Mikafara ya Hatari (ya Kuua na Kuroga kwa kumtumia Mganga wa Kike aliye katika Period kutokea Bagamoyo Mkoani Pwani) pamoja na Kuiba Maiti Mochwari na Kutfu Viwanjani.

Haya sasa akina Fred Job Sports Club itumieni Fursa hii ya Majini ya Wenzenu Kupumzishwa Kipindi hiki ili nanyi mshinde na mpunguze Gap la Alama (Points) kwani baada tu ya Mfungo huu tutaendelea na Utamaduni wetu wa kuyatumia Majini yetu Hatari ambayo hata Bibi naye anayatumia ili Nyota yake ing'ae kwani kagundua si tu kwamba hakuna anayempenda ila hata anayemuelewa pia hakuna.

Kazi ipo!
popoma katika ubora wako...vipi matokeo uto vs ihefu?.[emoji1787]
 
Ana matatizo huyo nadhani kuna shimo mwilini mwake halipo sawa kutokana na matumizi mabaya, n kwel kuna mapumziko ya ligi lkn anajifanya nguli wa mpira lkn hajui hy kitu
Wewe shimo lako la nyuma linaloshindiliwa Michi ya kila aina una uhakika nalo liko sawa?
 
Back
Top Bottom