Hasa zikianzishwa na Member anayependwa, anayesomwa, nwenye mvuto wake wa kipekee wa Uwasilishaji wa Mada Mtambuka hapa JamiiForums, Mshindi wa Tuzo ya Fedha na Zawadi kutoka JamiiForums kwa kuwa Mshindi wa Shindano la Jukwaa la Michezo ( Sports ) kwa msimu wa mwaka 2022/2023 na anayesomwa sana na Rais Samia, Balozi Genius Dk. Wilbroad Slaa, 70%. ya TISS and TPDF Staff, 95% ya Waandishi wa Habari nchini na Wasomi wa Vyuo Vikuu na wengine wengi ambaye ni GENTAMYCINE Mimi.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Kudadadeki.