Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Nashauri uachane na mambo ya CHADEMA, ni lini CCM ilitoa form za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM taifa?
kama mtaalamu mbobevu muandamizi wa masuala ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa,

siwezi kuchoka wala kuchelewa hata kwa sekunde moja kuwepo ndani ya vikao vya vyama vya siasa, lakini pia kurandaranda kwenye korido za ofisi kuu za vya vya siasa. Na hayo yote ni mambo ya kitaalamu, lakini pia kwa faida ya wadau wa siasa.

Hata hivyo,
nitaizungumzia mambo ya vyama vingine vya kisiasa, mpaka kwanza hili lililopo mbele yetu litakapohitimishwa rasmi mapema mwaka ujao kabla ya pasaka πŸ’
 
Ok, nilitarajia mbowe atetewe na utendaji wake, bt cha ajabu anawatuma machawa ndo wamtetee, hii kitaalam inaitwaje mkuu?
kitaalamu ni muhimu kuhakikisha kwamba, umefanya tathmini ya kina na kufanya mahesabu kwa umakini mkubwa kabla ya kujitokeza kugombea au kuomba uongozi wa kisiasa katika chama au Taasisi za kisiasa..

hivyo ndivyo watu makini wenye bongo kali hujipanga kuelekea uchaguzi, sio kukurupuka tu..

hayupo anaezuiwa kusema lolote juu yeyeyote kadiri anavyo muona bora. hakunaga haja ya kuweweseka na kuja na visingizio vya kinyonge namna hiyo,

be serious huu ni uchaguzi gentleman πŸ’
 
Kugombea ni kama kesi, kuna kushinda na kushindwa hiyo hata yeye anajua.
ni political mistake ya kiwango cha juu mno kujitokeza kugombea uongozi kwa mbwembwe na makelele mengi sana, halafu unaelekea kushindwa uchaguzi huo vibaya sana kwa fedheha sana πŸ’
 
Gusia na CCM
 
ni political mistake ya kiwango cha juu mno kujitokeza kugombea uongozi kwa mbwembwe na makelele mengi sana, halafu unaelekea kushindwa uchaguzi huo vibaya sana kwa fedheha sana πŸ’
Ila mnahangaika sana wajameni. Hebu tujadili Uwekezaji mkubwa uliofanywa kwenye sekta ya AFYA
 
Kwa sisi prophets of the doom, tunaoishi mbele yamuda, tunaoona mambo kabla hayajatokea...
Tumeona!..kuwa hizi ni siasa za kiinimacho Tu! Mbowe wala hatagombea, na lissu atapita bila kupingwa! Haya maamuzi wameshayapanga, na hii ndio njia ya utekelezaji wake tu
 
Siku akishinda utalazimika kubadili id kwa aibu au utaiacha hii id na kutumia zile zingine, maana ni mzee wa multiple id. Kutwa nzima unafanya propaganda mbaya dhidi ya lissu. Haya basi pendekeza mbowe naye agombee ili aendelee kuwa mwenyekiti ili muendelee kumuendesha kwa maridhiano mnayoyataka
 
tunza hii comment tutairejea
 
Ila mnahangaika sana wajameni. Hebu tujadili Uwekezaji mkubwa uliofanywa kwenye sekta ya AFYA
uzuri ni kwamba masuala ya afya na utimamu wa mwili kwa wagombea litaangaziwa vizuri sana ili kuamua mustakabali wa nafasi ya uenyekiti wa Taifa chadema πŸ’
 
UWT ukigusia ya nafasi ya Mwenyekiti taifa unapotea kama siyo kuuawa, muulize Ndugai kapotea mazima kwenye ramani
 
Wapumbavu wa CCM mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu. Mumeacha kabisa kujadili ya kwenu mnapokezana kujadili ya Chadema chama mnachodai kuwa kimekufa.
 
UWT ukigusia ya nafasi ya Mwenyekiti taifa unapotea kama siyo kuuawa, muulize Ndugai kapotea mazima kwenye ramani
mungwana Lisu kaamua kuonja sumu kwa ulimi, na sasa anateketea taraaatibu dah,

kachukua fomu kinyonge mno, na kabisaa amekata tamaa dah πŸ’

maisha ya siasa yanahitaji umakini mkubwa sana
 
mungwana Lisu kaamua kuonja sumu kwa ulimi, na sasa anateketea taraaatibu dah,

kachukua fomu kinyonge mno, na kabisaa amekata tamaa dah πŸ’

maisha ya siasa yanahitaji umakini mkubwa sana
UWT kwanini mnaumia kuliko CHADEMA wenyewe? Lissu na Mbowe wote ni wazuri
 
Gentleman,
kama mtaalamu wa masuala ya kisiasa, sina haja kubadili id wala kua na multiple id's kitu ambacho ni kinyume cha kanuni ya platform hii muhimu sana ya JF.

hata hiyo,
katika siasa mambo yote hupangwa kwa umakini na ustadi wa kiwango cha juu sana, huku mipango mikakati yake ikitekelezwa kwa weledi na uadilifu sana ili hatimae kuyafikia malengo mahususi ya kisiasa yaliyokusudiwa.

Katika siasa na dipolomasia hatukimbii matokeo tunaeleza wapi kulikua na weakness na strength za matokeo hayo na si vinginevyo πŸ’
 
UWT kwanini mnaumia kuliko CHADEMA wenyewe? Lissu na Mbowe wote ni wazuri
Mama Ima,
hivi kwanini BAWACHA hamumpendi Lisu awe mwenyekiti?

naskia wengi wenu ni vilaza tu pale BAWACHA,na yeye hafagilii mambo flani flani, sasa umejipangaje mama Ima na hata ile cartificate ya hotel management hukumaliza kwasababu ya hiyo nafasi ya mtunza haszina?πŸ’
 
Wapumbavu wa CCM mnajitekenya na kucheka wenyewe kama mazuzu. Mumeacha kabisa kujadili ya kwenu mnapokezana kujadili ya Chadema chama mnachodai kuwa kimekufa.
yaani kapoa kichizi alipokua anachukua fomu dah!

mtaka yote kwa pupa hukosa yote ndio hiyo sasa, mdomo kitu cha hovyo sana ukiutumia vibaya πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…