Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #21
Sikuumia mzee maana sikua na upande hyo mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuumia mzee maana sikua na upande hyo mechi
Hence proven, Wewe no kolowizardZinapokutana hapo napata tabu kdogo nakua nafatilia mpira mzurii tu wa sehemu yoyote ila zile 5 ziliniuna mana ni nyngi balaa[emoji25]
Wewe ni mpenzi wa burudani sio shabiki wa mpira[emoji3]Habari wana JF,
Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.
Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.
Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..
Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..
Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
Yaa nahisi ndo ninapoelekea huko sahv maana hata Man U na Liverpool zote nazishabikia na leo naenda kuziangalia wanapokutana nikiwa sina upande wwte..[emoji16]Wewe ni mpenzi wa burudani sio shabiki wa mpira[emoji3]
Utaishi maisha marefu sana[emoji3]Yaa nahisi ndo ninapoelekea huko sahv maana hata Man U na Liverpool zote nazishabikia na leo naenda kuziangalia wanapokutana nikiwa sina upande wwte..[emoji16]
Na ninashukuru sanaa aiseee maana nlikuaga shabiki kindakindaki nakumbuka ile Yanga ya kina Amis Tambwe ulikua huniambii kitu aiseee niligombana sana na watu kitaani.[emoji23]Utaishi maisha marefu sana[emoji3]
Mimi ni Kolo 50% Utopolo 50% mzeeHence proven, Wewe no kolowizard
Hongera. Umeelimika[emoji122]Na ninashukuru sanaa aiseee maana nlikuaga shabiki kindakindaki nakumbuka ile Yanga ya kina Amis Tambwe ulikua huniambii kitu aiseee niligombana sana na watu kitaani.[emoji23]
We utakuwa m burundiHabari wana JF,
Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.
Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.
Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..
Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..
Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
Ni mapenzi tu mzee inabdi niwe mfano wa kuigwa..We utakuwa m burundi
Pamoja sanaa[emoji123]Hongera. Umeelimika[emoji122]
[emoji123],We upo upande gan mzeeJambo jema
Unatafuta wafuasi?[emoji123],We upo upande gan mzee
Mi mbongo haswaa mzee ila zote team zangu hzo..[emoji123]Utakuwa na asili ya Sudan kusini wewe!
Afadhali ya ww mkuu sasa wajuba wengi hadi za kimataifa wanakaza daahh[emoji23][emoji119]Mimi linapokuja suala la timu hizi mbili(Simba na Yanga) kuwa kwenye mashindano ya Kimataifa, kwa kweli napenda timu zote zifanikiwe. Lakini tukija kwenye Ligi yetu aa Bwana lazima mzazi ulemee upande mmoja .
Mimi mzani umebalance kotekote zote nazishabikia.[emoji123]Hayati JPM alishona nguo yenye rangi ya SIMBASC upande mmoja & na YANGASC upande mwingine. Ila hilo haimaanishi kuwa anazipenda zote, lazima mzani kuna sehemu utalemea.
Me ushabiki wa kunipa stress ndo kitu siwezi kabsa sahv..ni kazi sana kupenda timu zote mimi ata yanga ikishuka daraja bado ntabaki yanga.