Huenda mimi nikawa Mtanzania pekee kuzishabikia Simba na Yanga zote kwa Pamoja

Huenda mimi nikawa Mtanzania pekee kuzishabikia Simba na Yanga zote kwa Pamoja

Habari wana JF,

Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.

Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.

Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..

Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..

Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
Wewe ni mpenzi wa burudani sio shabiki wa mpira[emoji3]
 
Wewe ni mpenzi wa burudani sio shabiki wa mpira[emoji3]
Yaa nahisi ndo ninapoelekea huko sahv maana hata Man U na Liverpool zote nazishabikia na leo naenda kuziangalia wanapokutana nikiwa sina upande wwte..[emoji16]
 
Mimi linapokuja suala la timu hizi mbili(Simba na Yanga) kuwa kwenye mashindano ya Kimataifa, kwa kweli napenda timu zote zifanikiwe. Lakini tukija kwenye Ligi yetu aa Bwana lazima mizani uelemee upande mmoja .
 
Habari wana JF,

Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.

Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.

Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..

Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..

Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
We utakuwa m burundi
 
Mimi linapokuja suala la timu hizi mbili(Simba na Yanga) kuwa kwenye mashindano ya Kimataifa, kwa kweli napenda timu zote zifanikiwe. Lakini tukija kwenye Ligi yetu aa Bwana lazima mzazi ulemee upande mmoja .
Afadhali ya ww mkuu sasa wajuba wengi hadi za kimataifa wanakaza daahh[emoji23][emoji119]
 
Hayati JPM alishona nguo yenye rangi ya SIMBASC upande mmoja & na YANGASC upande mwingine. Ila hilo haimaanishi kuwa anazipenda zote, lazima mzani kuna sehemu utalemea.
Mimi mzani umebalance kotekote zote nazishabikia.[emoji123]
 
Back
Top Bottom