Huenda msimuone tena Okra uwanjani kwa miezi kadhaa au msimu mzima

Huenda msimuone tena Okra uwanjani kwa miezi kadhaa au msimu mzima

Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
kwani wewe ni Mungu?
 
Atakuepo nusu fainali ya mapinduzi iwapo waNANCHI watafuzu,umesikia weKUNDU wa msimbazi
 
Taarifa iliyotolewa na daktari wa Yanga Augustine Okra alipata Maumivu baada ya kugongana na mchezaji wa KVZ Hali iliyo sababisha mishipa laini ya puani kuchanika.
Baada ya kukimbizwa Hospitali na kufanyiwa uchunguzi wa kina imeonekana hakuna shida nyingine kubwa zaidi ya iyo mishipa laini ya puani na anategemewa baadae kuruhusiwa kutoka Hospitali.
 
Ila huyu Augustine Okrah naye tumepigwa aisee. Bora Jesus Moloko angeendelea tu kubaki mpaka mwishoni mwa msimu.
Usajili wa hovyo kabisa huu kwa wananchi!

Ukija kwa Joseph Guede naye, mambo ni yale yale! Tofauti yake na Hafiz Konkoni, hata siioni mpaka sasa.
 
Ila huyu Augustine Okrah naye tumepigwa aisee. Bora Jesus Moloko angeendelea tu kubaki mpaka mwishoni mwa msimu.
Usajili wa hovyo kabisa huu kwa wananchi!

Ukija kwa Joseph Guede naye, mambo ni yale yale! Tofauti yake na Hafiz Konkoni, hata siioni mpaka sasa.
Okrah anazingua
Wachezaji kutoka Ghana ni watu wa starehe ni wasumbufu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila huyu Augustine Okrah naye tumepigwa aisee. Bora Jesus Moloko angeendelea tu kubaki mpaka mwishoni mwa msimu.
Usajili wa hovyo kabisa huu kwa wananchi!

Ukija kwa Joseph Guede naye, mambo ni yale yale! Tofauti yake na Hafiz Konkoni, hata siioni mpaka sasa.
GUEDE ana kitu sema anamapepe akitulia atafanya vizuri kumbuka hata pacome alianza mdogo mdogo
 
Ila huyu Augustine Okrah naye tumepigwa aisee. Bora Jesus Moloko angeendelea tu kubaki mpaka mwishoni mwa msimu.
Usajili wa hovyo kabisa huu kwa wananchi!

Ukija kwa Joseph Guede naye, mambo ni yale yale! Tofauti yake na Hafiz Konkoni, hata siioni mpaka sasa.
Ila wee jamaa sometimes miyeyusho sana, yaani unamjaji mchezaji kwa mechi mbili tu? Kisa tu hakufunga?
 
GUEDE ana kitu sema anamapepe akitulia atafanya vizuri kumbuka hata pacome alianza mdogo mdogo
Nadhani alikaa sana bila kucheza mechi za mashindano. Ila akicheza mfululizo hata mim naona ana kitu mguuni kwake
 
Back
Top Bottom