Huenda Nyota Kali za akina Diamond na Wema tukiambukizwa wengi tutafanikiwa kimaisha

Huenda Nyota Kali za akina Diamond na Wema tukiambukizwa wengi tutafanikiwa kimaisha

Ni ukweli usiopingika kwamba Watu maarufu hawa Mwanamuziki Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) na Msanii wa Maigizo na Mlimbwende Wema Sepetu ( Sepenga ) ni Watu wenye ' Nyota ' kali sana za Kimafanikio katika maisha yao ya kila siku na ndiyo utaweza kuona kila siku wanasema / wananangwa na wengi lakini ndiyo wanazidi tu kutuacha Kimafanikio huku Sisi tukibaki tu majungu yetu na Wivu mioyoni mwetu.

Nadhani imefika muda sasa akina Diamond na Sepenga watugawie Sisi wengine sehemu tu ya ' Nyota ' zao za ' Jaha ' ili nasi basi tuweze ' Kutusua ' Kimaisha na tuwe na mafanikio badala ya Sisi kuwekeza tu katika kuwapiga wao majungu huku umasikini / ufukura ukitutawala hadi katika Kope za macho yetu.

Nawasilisha.

Akili za ki ccm zote hizo.

Mtu akishakua ccm akili zake zinakua hazipo sawa kabisa.
 
Hierarchy of needs zile self esteem na self actualisation wameshazifikia.
ova.
 
Yule kutoka kwake inabidi kwanza aachane na maisha ya mitandao hasa insta ..... making headline bila pesa ni upuuzi
Kutika kwenda wapi?
Kila mtu ana namna ambayo anayaona mafanikio yake. Kuea na followers wengi mtandaoni, kuweka headlines kwenye media always ni pleasure kwa mastaa wengi. Na ni mafanikio makubwa.

If only measure success in terms of material things, you are limited in thinking!
 
Back
Top Bottom