Tetesi: Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

Tetesi: Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
iyo rahisi kihivyo...kwa kosa lipi? kutoa maoni?
 
Vijana wa MBOWE DJ hao. Ije mvua lije jua hawawezi kufukuzwa.Labda waende tofauti na DJ AFM
 
Kwahoja hiyo watuombe Radhi sisi Wananchi haraka iwezekanavyo, na sio kumuomba radhi Lissu pekee.

Hebu Imagine tulivyoamka Asubuhi kwenda kumpigia kura Lissu huku tukiogopa "Wasiojulikana" wa Magufuli, Stress na Hofu za kutekwa na kuuwawa.

We demand apology..
Well said, waezingua sana na wanastahili kuomba msamaha na kuwajibika.
Watu wamefilisika, kuna waliofungwa kuna walioteswa na kuna walioawa na wengine wamepotea babu ya imani yao kwa Chadema
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Bora Boni yai na Yeriko wanaweza kuomba msamaha na kusamehewa ila Ntobi, avuliwe uanachama mara moja,
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Bado sana, ile katuni ya kipanya ya jamaa anasubiri kuzika haitofikia , wala CHADEMA haifi.
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Kiukweli cdm wakatae kila aina ya uchawa la sivyo kitajifia
 
Hii kama ni Wenje asitafute mtu wa kufa naye , kutaja watu flani mbele ya lissu kwamba waeisha lamba , wenda ulikua ulaghai wa kitapeli ili lissu aingie mkenge, Wenje kama ndie awake ushahidi usio na shaka mezani ,ili tujue kama kweli alichokipresent kwa lissu kina ukweli, kumtajia mtu list kwamba uyu tiyari , yule tiyari hitoshi, Wenje kama ndie basi ni tapeli wa kisiasa
 
Tusiwe kama CCM sisi tunaami katika Demokrasia na Freedom of Speech maoni ya Wanachama na Wapenda Demokrasia tusiyaone kuwa ni matusi.

Matusi ya nguoni NOMA lakini Spana zipigwe tu.

GfF9ragacAAWv7q.jpeg
 
wafuasi wa Lissu mutafute chama cha kujiunga nacho, Hamuna uwezo wa kushinda uchaguzi
 
Namkubali Mbowe na ni mwanasiasa aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kuhuisha siasa za kizazi kipya cha siasa cha vijana kuanzia miaka ya mwanzoni mwa 2000.

Hawa akina Zitto,Lema,Mnyika,Mdee,Regia(RIP),Heche,Wenje,Kafulila,Sugu,Mkosamali etc watakuwa ni wanafiki sana wakikana kuvutiwa na Mbowe kabla hawajaingia kwenye siasa.Wengine (mfano Lema)ameiga hadi uongeaji wa Mbowe akiwa Jukwaani!

Lakini sivutiwi na namna ambayo Mbowe AMA anataka kuondoka kwenye nafasi ya uwenyekiti bila heshima inayoendana na legacy aliyoiweka kwenye siasa za upinzani kwa karibia miaka 30 sasa AU kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama kilichomeguka kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya uamuzi wake wa kugombea.Siamini kama Mbowe atagombea uenyekiti.Mbowe anajua umuhimu wa hilo kuliko sisi wengine.Alipaswa na najua anajua,kuachia nafasi hiyo bila kushindwa uchaguzi.Atoe baraka zake kwa wenye nia ya kugombea kujitokeza na kuchukua fomu na kuweka msimamo thabiti kuwa yeye sasa atakuwa tu ni mzee wa chama na mshauri wa karibu sana wa mwenyekiti mpya.

Hata akigombea na kushinda bado hiyo itaacha sintofahamu ndani ya chama na nje ya chama.Ndani ya chama ni kama hii misuguano inayoendelea.Itakuwa mikubwa zaidi baada ya uchaguzi regardless nani ameshinda ikiwa Mbowe pia atakuwa ni mgombea.Nje ya chama ni ileile hali ambayo wapinzani wao wataendeleza kuimba nyimbo zilezile za chama kukosa watu wenye uwezo ndomana mwenyekiti ni wa miaka zaidi ya 20.Nyimbo za chama cha demokrasia kukosa demokrasia ya kupokezana vijiti kwenye uongozi na pia nyimbo za ukanda.Nimeziita nyimbo kwa sababu zinajibiwa kwa hoja nzuri tu lakini kwa nini kila siku iwe kujibu kitu hichohicho tu?Ni fursa kwa mwenyekiti Mbowe kufuta na kuzizika hizi nyimbo kwa kutangaza kutogombea nafasi ya uwenyekiti.

Heshima kubwa kwake Freeman Aikael Mbowe kwa kukifanya chadema kuwa chama kikubwa cha upinzani na tishio kwa watawala.Ningefurahi zaidi heshima hiyo iendelee kudumu bila kuwekewa doa lolote.Binafsi kwangu Mbowe ndiye mwanasiasa bora wa upinzani nchini kuanzia mwaka 2000 hadi sasa.
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Lissu sio makamu wa mwenyekiti alishajivua
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Na iwe hivyo 🤣 🤣 🤣 🤣 Watimuliwe!!
 
Yeriko si ndiye Look-us Muwasha-mbwa wa Mwenyekiti? Au?
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Kazi inaendelea huko CHADEMA
 
Back
Top Bottom