Huenda wakati wowote nikawa milionea

Huenda wakati wowote nikawa milionea

Hahaha ya leo unanichekesha mkuu

kufanikiwa maishani kunahitaji juhudi na maarifa baaasi juhudi zako kubeba box sawa na hiyo ya huyo bi mkubwa ni maarifa asa kwa nini usitoke kwa mfano....

I wanna know more about you
Am fucking poor
 
hahahahahaha ushaanza kujiona unaendesha VX
sikufichi dada yangu hummer renjii na V8 ni ndoto yangu ya mda mrefu na kila cku ila uwezo wa kuzimiliki sina. Akina vitz kama 3 kwa akiba niliyonayo naweza kuchukua hadi tatu bila kufunga macho.
 
Haya maisha matatizo ya mwenzako yanageuka mafanikio kwako hicho ni kipaji jiendereze tu.
 
kuna watu bado wanategenea maendeleo na ufanisi kuja kwa kupata bahati nasibu au kamari !
 
Kwa sababu hii hii ya kutaka wanaotalikiana au?Hawa mods nao vipi?
hapana mkuu. Inaonekana Lizabon alnichongea kwa Mods. Maana yeye kazidi mno kumuandama na kumutukana mzee wetu ngoyai. Nikamuondolea uvivu kwa maneno makali na mazito
 
Nikija kufa cha kwanza kukimisss kitakuwa jamii forums....cha pili hewa ya oxygen.
Usitegemee ipo siku Jf itakuwa bored, never ever.
Kila siku ni Hits mpya tuuu.
 
Hahahaha wajinga ndio waliwao..wewe huna tofauti na wanaocheza pool table saa1 asubuhi.
huo mda wa kucheza pool my learned friend nitautoa wapi. Baas karibuni Sasa ndio Nitaanza kucheza
 
siyo fiks mkuu. Hatujakuna bado. Kinachonipa matumaini mbona ghafla kaamua kunijibu baada ya miez yote iyo lazima there something. Kama asingekuwa interested asingeniandikia iyo ndio inanipa hopes. Halafu werevu itakuwa rahis sana kunijua kama nitakuwa milionea
 
hapana mkuu. Inaonekana Lizabon alnichongea kwa Mods. Maana yeye kazidi mno kumuandama na kumutukana mzee wetu ngoyai. Nikamuondolea uvivu kwa maneno makali na mazito
Pole.Ila kama ni lizaboni ilikuwa ni haki yake.Ila kila la kheri kwenye mpango wako usisahau kuja kuwekeza nyumbani tupate ajira.
 
Haina tofauti na ndoto ya Alinacha aliyejikuta anapasua kioo alichotarajia kukiuza kwa fedha nyingi awe tajiri!
 
Maisha magumu sana,box nalo limekuchosha.
Rudi bongo ulime mchicha.
 
Back
Top Bottom