Huenda wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu waliokaa na madeni kwa muda mrefu kupatiwa mwarobaini wake

Mkuu NIDA wameharibu mipango yote coz taarifa za kila raia ziko centralized hivyo kazi imekuwa rahisi sana kwa HESLB

Hio NIDA itafanya maajabu gani wkt watu wako kitaa miaka ya kutosha na ajira hawana.
 
Sikuhizi hadi vyeti vinaonesha kama ulikuwa na mkopo heslb au laaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…