Huhitaji Elimu kuwa Mjasiriamali bali unatakiwa kuona fursa

Huhitaji Elimu kuwa Mjasiriamali bali unatakiwa kuona fursa

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Kuna watu wanaamni ukisoma ndo unaweza anzisha ulicho somea.

Elimu na Kuona furusa ni sawa na mbingu na nchi. Unaweza usisome na ukaanzisha hospitali mara baada ya kuona Furusa.

Mengi hajasomea Mass commnication ila ana miliki vyombo vya habari na anapiga pesa.

Unaweza soma Animal Sayansi ila ukaona furusa kwenye Micro finance na ukafungua Micro finance company na ukapiga pesa mbaya.

Kuna Madakitari wa binadamu nawajua waliacha Udakitari na kuingia kwenye kilimo ni baada ya kuona feature huko.

Unaweza soma Masscomnication ila ukaona furusa kwenye Huduma ya Afya na ukafungua Hospitali yako na kuajiri Ma Dr.

Hizi elimu zinatudanganya sana na kuamini kwamba ukisoma basi fanya ukicho somea.

Unapaswa kuangalia furusa baada ya hapo na plan utaitekeleza vipi hiyo Furusa yako.

Watu wanashangaa IT kuuza mahindi ila hawajawahi kujiuliza hivi Mengi ana elimu ya Utangazaji au Uandishi wa Habari? mbona anamiliki vyombo vya habari?

Sina uhakika kama Mohamed Entreprises kasomea Agriculture ila ana mashamba yakiwemo ya mkonge. Huyo anazungumziwa vipi?

Wamiliki wa mabasi wamesomea Transport? wana elimu ya Usafirishaji? Tusha wahi kuwashangaaa?

Wakulima wakubwa Tanzania wamesomea Agriculture? Tusha wahi kuwashangaaa?

UOGA NA AIBU NDO MUHIMILI WA KUTO FANIKIWA



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanaamni ukisoma ndo unaweza anzisha ulicho somea.

Elimu na Kuona furusa ni sawa na mbingu na nchi. Unaweza usisome na ukaanzisha hospitali mara baada ya kuona Furusa.

Mengi hajasomea Mass commnication ila ana miliki vyombo vya habari na anapiga pesa.

Unaweza soma Animal Sayansi ila ukaona furusa kwenye Micro finance na ukafungua Micro finance company na ukapiga pesa mbaya.

Kuna Madakitari wa binadamu nawajua waliacha Udakitari na kuingia kwenye kilimo ni baada ya kuona feature huko.

Unaweza soma Masscomnication ila ukaona furusa kwenye Huduma ya Afya na ukafungua Hospitali yako na kuajiri Ma Dr.

Hizi elimu zinatudanganya sana na kuamini kwamba ukisoma basi fanya ukicho somea.

Unapaswa kuangalia furusa baada ya hapo na plan utaitekeleza vipi hiyo Furusa yako.

Watu wanashangaa IT kuuza mahindi ila hawajawahi kujiuliza hivi Mengi ana elimu ya Utangazaji au Uandishi wa Habari? mbona anamiliki vyombo vya habari?

Sina uhakika kama Mohamed Entreprises kasomea Agriculture ila ana mashamba yakiwemo ya mkonge. Huyo anazungumziwa vipi?

Wamiliki wa mabasi wamesomea Transport? wana elimu ya Usafirishaji? Tusha wahi kuwashangaaa?

Wakulima wakubwa Tanzania wamesomea Agriculture? Tusha wahi kuwashangaaa?

UOGA NA AIBU NDO MUHIMILI WA KUTO FANIKIWA



Sent using Jamii Forums mobile app

Nakupa 5 mkuu,huu ni ukweli uliopo wazi kabisaaaa
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
Hahahaa umerudi?

Nilijua umeenda kuanzisha thread zako nashangaa unashindia humu. Kwanye chai basi halafu urudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
Nazani unabisha kutafuta sifa tu acha ujinga.

Ukisha ona furusa maana yake ni pamoja na kijipanga jinsi yakufanya.

Unajua maana ya Business planing?

MIMI NIMESOMA ANIMAL SAYANSI NATAKA KUFUNGUA MICROFINANCE

maana yake nimeona furusa tiyari nimeona feature ninacho fanya nikutafuta means za mimi kutimiza ndoto zangu.

Hiyo ni pamoja na kutafuta watu wanao jua mambo ya Microfinance ili either bi waajiri au tufanye pamoja.

Unazani wakina Bilgate walikuwa pekee yao?

Jamaa wa Facebook kwa akili yako alikuwa pekee?

Jackmal mmiliki wa Alibaba unazani alianzisha Alibaba akiwa mwenyewe?

Hao waliona furusa wakatafuta watu wengine.

Ndo ilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
Kwanza sijui kiwango cha uelewa wako ni.kipi, make naweza kuwa natumia nguvu kubwa kumbe shida iko kwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
Huku tunatoa elimu hakuna anaye Danganywa kuna Mtoto humu? shida wengibe mnaingia humu kwa bahati mbaya tu.
We komaa na mambo yako kama ukiona haya hayakuhusu pita tu

Hii ni coment ya mwisho kukujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unachanganya mambo hapa......
usilinganishe mchoma mahindi na kina Mengi au Bakhresa au MO.

Biashara nyingi zinakufa sababu wamiliki wa hizo biashara hawajui hata biashara hizo zinaendeshwaje, hao uliowataja wengi wao wanajua hiyo biashara yaendeshwaje na faida yapatikana vipi.... usidanganye watu waache kuwa madaktari ili waende wakauze kuku......
Kwani walizaliwa wakiwa wanajua hizo biashara?

Walizijua baada ya kudhubutu na kuingia huko.

Well said mtoa mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu mnapanic sana, bora nimejua kuwa wewe ni mwanasayansi wa mifugo
 
Tatizo lenu mnapanic sana, bora nimejua kuwa wewe ni mwanasayansi wa mifugo
Hahaha..... Unafurahisha kweli jamaa.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Binafsi namheshimu muuza mitumba kuliko hata meneja wa benki......

Mtu aliyeamua kujiajiri ni mtu wa peke sana....ni mtu ambaye amethubutu kufanya kitu ambacho mamilioni ya watu hawawezi kukifanya........
Huwa nakuelewa sana mkuu, big up kwa kuwa miongoni mwa watanzania wenye fikra adimu niliowahi kukutana nao.

I salute you mkuu.

Watu hawajui hata malengo makuu ya elimu ni nini! Na ndio maana wasomi wetu wengi ukiwasikiliza maono yao juu ya mambo mbali mbali unabaki kusikitika tu.



sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Huwa nakuelewa sana mkuu, big up kwa kuwa miongoni mwa watanzania wenye fikra adimu niliowahi kukutana nao.

I salute you mkuu.

Watu hawajui hata malengo makuu ya elimu ni nini! Na ndio maana wasomi wetu wengi ukiwasikiliza maono yao juu ya mambo mbali mbali unabaki kusikitika tu.



sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.

Asante mkuu....

Ila kuna tatizo katika mifumo ya elimu ya nchi za Africa kwa sababu uzoefu unaonyesha kuwa kwa kadri anavyozidi kupata elimu ndivyo anavyozidi kuwa mjinga.....

Kwa kifupi ni kuwa mifumo ya elimu ya nchi hizi za ki Africa zinamjenga mtu kuwa na mentality ya kitumwa na uoga wa hali ya juu.....na kibaya zaidi huwa wana excuses kibao kuhalalisha huo utumwa na uoga wao......

Pia mifumo ya elimu inamtoa moja kwa moja mtu kwenye matumizi ya akili zake........
 
Asante mkuu....

Ila kuna tatizo katika mifumo ya elimu ya nchi za Africa kwa sababu uzoefu unaonyesha kuwa kwa kadri anavyozidi kupata elimu ndivyo anavyozidi kuwa mjinga.....

Kwa kifupi ni kuwa mifumo ya elimu ya nchi hizi za ki Africa zinamjenga mtu kuwa na mentality ya kitumwa na uoga wa hali ya juu.....na kibaya zaidi huwa wana excuses kibao kuhalalisha huo utumwa na uoga wao......

Pia mifumo ya elimu inamtoa moja kwa moja mtu kwenye matumizi ya akili zake........
Ni kweli mkuu na si tu kuwa Mjinga bali juwa muoga.

The more mtu anacyo soma ndo the more anavyo kuwa na kiwango cha juu cha Uoga.

Angalia wale Ma profu wengibe wana Phd za Uchumi wengine za Biadhara. ila ni waoga wa wao kuanzisha biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu....

Ila kuna tatizo katika mifumo ya elimu ya nchi za Africa kwa sababu uzoefu unaonyesha kuwa kwa kadri anavyozidi kupata elimu ndivyo anavyozidi kuwa mjinga.....

Kwa kifupi ni kuwa mifumo ya elimu ya nchi hizi za ki Africa zinamjenga mtu kuwa na mentality ya kitumwa na uoga wa hali ya juu.....na kibaya zaidi huwa wana excuses kibao kuhalalisha huo utumwa na uoga wao......

Pia mifumo ya elimu inamtoa moja kwa moja mtu kwenye matumizi ya akili zake........
Mkuu ishu sio elimu bali nature pia. Ukiangali Mfano MBA kozi ya Tanzania na ya USA au CANADA zinafanana kwa 99%;

Sasa unajiuliza wao vipi na sisi vipi?

Nature ya maiisha pia ukiondo elimu. sina tatizo na elimu bali nature.

Wakati Uvumbuzi mwingi unafanyika hakukuwa na elimu hata huko yaani wao ndo walikuwa wakwanza.

So tunashida zaidi ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nakuelewa sana mkuu, big up kwa kuwa miongoni mwa watanzania wenye fikra adimu niliowahi kukutana nao.

I salute you mkuu.

Watu hawajui hata malengo makuu ya elimu ni nini! Na ndio maana wasomi wetu wengi ukiwasikiliza maono yao juu ya mambo mbali mbali unabaki kusikitika tu.



sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Huwa naamini mara nyingine Vyuoni tunaenda Kusomea Uoga.

Na ni laimza watu wawe waoga kwa sababu.elimu zote unakaririshwa mavitabu ya watu wengine unategemea nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom