Huhitaji Nabii kujua kuwa kuna anguko kwa kiongozi anayeua watu ovyo

Huhitaji Nabii kujua kuwa kuna anguko kwa kiongozi anayeua watu ovyo

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Ni majira na Nyakati zimefika kwamba wauwaji Wasiojulikana wameanza kujulikana! Kwa ukimyaa wa Viongozi kukemea na kuchukua hatua inaonyesha ndio Waasisi wa haya mauaji,kulinda utawala wao.

Historia inaonyesha kuwa ukiua watu damu zao zinadai malipo, Viongozi walikufa japo walipenda watawale miaka mingi, Wakumbukeni Magufuli,Idd Amin, Hitler n.k

Yuko Mungu wa Mbinguni anayefuatilia Matendo yetu. Iko siku roho za watu unazoshiriki kuua zitaanza kuku haunt,hutakuwa salama. Tuendelee kuwaweka peupe na kukataa kutekwa au kukamatwa bila utaratibu.Watu waanze kuita Msaada kukiwa na Dalili za kutekwa.pia Wajikabidhi Kwa Mungu, Zaburi 127:1

Zaburi 127:1
(BWANA asipoijenga nyumba
Waijengao wafanya kazi bure.
BWANA asipoulinda mji
Yeye aulindaye akesha bure.)
 
Ni majira na Nyakati zimefika kwamba wauwaji Wasiojulikana wameanza kujulikana! Kwa ukimyaa wa Viongozi kukemea na kuchukua hatua inaonyesha ndio Waasisi wa haya mauaji,kulinda utawala wao.

Historia inaonyesha kuwa ukiua watu damu zao zinadai malipo, Viongozi walikufa japo walipenda watawale miaka mingi, Wakumbukeni Magufuli,Idd Amin, Hitler n.k

Yuko Mungu wa Mbinguni anayefuatilia Matendo yetu. Iko siku roho za watu unazoshiriki kuua zitaanza kuku haunt,hutakuwa salama. Tuendelee kuwaweka peupe na kukataa kutekwa au kukamatwa bila utaratibu.Watu waanze kuita Msaada kukiwa na Dalili za kutekwa.pia Wajikabidhi Kwa Mungu, Zaburi 127:1

Zaburi 127:1
(BWANA asipoijenga nyumba
Waijengao wafanya kazi bure.
BWANA asipoulinda mji
Yeye aulindaye akesha bure.)
Madaraka ni matamu na hofu ya uchaguzi

Makuhani tuko milimani tunaomba huko chini mtaona moshi mweupe ndo ishara kuu
Tulifanya hivi 2015-2021 moshi mweupe ukaonekana march17 , 2021
wananljiidanganya hawezi shinda na Mungu mwenye Dunia yake
 
Back
Top Bottom