Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
IMG-20240111-WA0027.jpg


Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
 
View attachment 2870198

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Serikali serikali serikali.

Tumia vyombo vyako vya ulinzi na usalama kulinda afya za raia wako.

Tunapokea junks kibao zinazodhuru maisha ya watu. Sukari ni ugonjwa pandikizi ili viwanda vya dawa vipate wateja
 
Eleza pia chanzo cha kukatwa mguu.

Usieleze kama vile tunajua.

Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!

Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
 
View attachment 2870198

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Amepata ajali ama? Pia Embu tupia na picha yake ya zamani
 
Eleza pia chanzo cha kukatwa mguu.

Usieleze kama vile tunajua.

Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!

Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
Ile zitto alimpiga kitu. Walitofautiana bungeni akamshtaki kwa wazee wa kigoma. Nahisi kwa sasa Zitto akimuona yule mzee nafsi inamsuta sana. Mzee kwa sasa anajiswalia zake tu na yupo vizuri, Mungu atamlipia.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom