Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!

Na ni takribani mwezi hivi ametoka mpoteza mke wake...
 
View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Kama watawala wanapitaga humu naomba waione hii wajue utawala wao wameupata kibahati bahati na muda wao utapita watapata saratani kila kona ya mwili wanajiona bora wanatunyanyasa wananchi sjui wanatuonaje ila watakufa kifo kibaya 😂😂😂

Sjapenda nilivyoandika ila lolote baya liwakute watawala wote wa ccm
 
View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Mbona Hana mguu mmoja ajali au sukari jaman
 
CCM wanahisi wataishi milele ndiyo maana wapo tayari kufanya chochote kulinda madaraka yao!
 
Serikali serikali serikali.

Tumia vyombo vyako vya ulinzi na usalama kulinda afya za raia wako.

Tunapokea junks kibao zinazodhuru maisha ya watu. Sukari ni ugonjwa pandikizi ili viwanda vya dawa vipate wateja
Sometimes tusitoe tu lawama bila kujiangalia sisi,

Watu hatufanyi mazoez
Kila siku tunakula chips za viazi vya mbeya na mafuta ya singida
Tunashushia na mbuzi choma za arusha/ Mbuzi katoliki wa pwani kg 1

Tunamalizia na Safari lager kubwa

Kisha tunakuwa mabonge, tunapata kisukari na magonjwa mengine ndio tuje tuilaumu serikali ? Na sio kwamba watu hawajui wanachofanya ni hatari, wanajua ila wanakaza shingo tu
 
Ndio... Nimeshafanya kazi nje ya nchi tena nchi za dunia ya kwanza... Najua standard ya Tanzania kwa sasa ukilinganisha na nchi nyingine. Sasa uliza swali
Daah kwa majibu haya mkuu Tanzania bado tupo kwenye kupunguza vifo vya Wazazi wanapojifungua wakati hizo Nchi za Dunia ya kwanza hilo swala halipo au ulikua Dunia ya kwanza Nchi gani maana tunaweza tukawa tunazungumza vitu tofauti kabisa hapa...Tanga iliundwa Tume mwanamke alifariki kwa kukosa laki moja na nusu ili ajifungue salama baadae akafariki leo hii unaleta story za Dunia ya kwanza ipi mkuu.
 
Sometimes tusitoe tu lawama bila kujiangalia sisi,

Watu hatufanyi mazoez
Kila siku tunakula chips za viazi vya mbeya na mafuta ya singida
Tunashushia na mbuzi choma za arusha/ Mbuzi katoliki wa pwani kg 1

Tunamalizia na Safari lager kubwa

Kisha tunakuwa mabonge, tunapata kisukari na magonjwa mengine ndio tuje tuilaumu serikali ? Na sio kwamba watu hawajui wanachofanya ni hatari, wanajua ila wanakaza shingo tu
Vitu vinaingia kwenye mzunguko na vinalipiwa kodi kumbe ni mauti yetu.

Mzee, jaribu kutafakari mwananchi anajizuiaje na sumu za vyakula wakati all tools zipo serikalini?
 
Back
Top Bottom