Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Heri ya mwaka mpya kamanda, natumai maisha ya mwaka mpya yameanza vyema

Shukrani ndugu yangu. Tunashukuru hadi Sasa Mwaka umeanza vizuri, tumeanza kurejea kwenye uchapakazi baada ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Tuendelee kuomba baraka na mafanikio zaidi Kwa mwaka 2024 kaka.
 
Life changes leo una mali kesho huna, leo una viungo vyote vya mwili kesho huna, leo una baba na mama kesho huna, leo una mume/mke watoto kesho huna, leo una uhai kesho huna

Dah
 
View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Pole yake, Mimi huwa nayashangaa haya matapeli ya kijani ambayo tumeyapa dhamana ya kutuongoza na kuishia kutuibia. Yataiba lakini yatambue hujafa hujaumbika
 
View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
Mungu amfanyie wepesi. Sukari mbaya sana
 
Ndo hapo sasa utasikia makenge yanauliza eti unaishije na watu ambao hawajasoma?! Maisha yakiamua,ni kama kifo tu. Kwa ushauli wako wangekuelewa,mbona raha sana kujishusha na kuishi na watu vizuri!
 
Life changes leo una mali kesho huna, leo una viungo vyote vya mwili kesho huna, leo una baba na mama kesho huna, leo una mume/mke watoto kesho huna, leo una uhai kesho huna

Dah
Tungeweza kuishi kama kesho hatutakuwepo,heshima ingekuwepo na maisha yangekuwa mazuri
 
View attachment 2868973

Haya maisha ukitafakari sana utagundua si chochote si lolote, ni masikitiko matupu na kujidanganya. La msingi ni kufanya kila liwezekanalo kuwatabasamisha watu wako wachache utakaoweza (maana wengi huwezi) na kisha kujiondokea zako kwenda kukutana na mwenyewe aliyekuumba.

Nafurahi kusikia kuwa huyu mheshimiwa kamwe hajawahi kuwa na maisha ya kujidai kwa wananchi wenzake wa Kilwa. Daima moyo wake na harakati zake zote zilikuwa kuwatetea na kuwainua wanaKilwa wenzake. Hata hapo, akiwa katika hali hiyo, yupo kwenye kikao na anatoa mchango wake kwa maendeleo ya Kilwa.

Angelikuwa mwepesi tu wa imani basi angekuwa ndani amejifungia. Mungu ambariki sana!
🙏
 
Back
Top Bottom