Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Ndio... Nimeshafanya kazi nje ya nchi tena nchi za dunia ya kwanza... Najua standard ya Tanzania kwa sasa ukilinganisha na nchi nyingine. Sasa uliza swali
Vizuri sana. Twende taratibu naomba kujua hospitali na hiyo nchi uliyopata matatibu -1st world country.
 
Ni kweli kabisa, ila kama nimekosea kuleta hii mada basi niambie tu mkuu maana naona kama umekasirika hivi urafikiri labda nimemsema vibaya mheshimiwa!
Mimi sijaona ubaya wowote wa hii habari, labda kila mtu ana akili zake. Ni kumbukumbu nzuri watu tumekumbuka michango yake bungeni tunamwombea kwa Mungu ampe furaha.
Sijaona ubaya wowote.
 
Daah kwa majibu haya mkuu Tanzania bado tupo kwenye kupunguza vifo vya Wazazi wanapojifungua wakati hizo Nchi za Dunia ya kwanza hilo swala halipo au ulikua Dunia ya kwanza Nchi gani maana tunaweza tukawa tunazungumza vitu tofauti kabisa hapa...Tanga iliundwa Tume mwanamke alifariki kwa kukosa laki moja na nusu ili ajifungue salama baadae akafariki leo hii unaleta story za Dunia ya kwanza ipi mkuu.
Unajua kuna watu wanaropoka tu. Wakati watu tumekimbiza watu Nairobi kwa vigonjwa vidogo sababu tulikuwa tunawapoteza hapa. Tanzania unakuta Daktari bingwa bado ana tibu na teknolojia na elimu ya mwaka 2000. Unaenda hospital kubwa wana vifaa hawajui kutumia. Wana daktari wazuri, mgonjwa anakufaa sababu ya poor nursing halafu huyu kilaza maramojatu anakwambia tuna standards za 1st world. Hii nchi hata chanjo tu za watoto tunapewa misaada na wahisani. Madawa na vifaa tiba tunategemea USAID na mashirika ya kimataifa halafu mtu anakwambia tuna standards. Damn.
 
Yeah, Ni kisukari kiongozi!!
Wakuu Maradhi ya kisukari yanatibika kwa dawa zetu za asili ukiumwa na hayo maradhi ya kisukari tutafuteni sisi watibabu wa dawa za asili ili tupate kuwatibieni. Ukiumwa na hayo maradhi ya kisukari ukikimbilia hospitali madhara yake unakatwa mguu au mkono Wakati ukitumia dawa zetu za asili za kutibu huo ugonjwa wa kisukari hata kama una kidonda kitapona kwa dawa zetu za asili. Kwa mtu anaye mgonjwa wa kisukari asichelewe kututafuta sisi watibabu wa dawa za asili ili tuweze kumtibia aweze kupona maradhi yake.
 
Huyu ndiye aliyesema majimbo ya uchaguzi Zanzibar ni kama vijiji ukipuliza mluzi jimbo zima wanasikia.
Au nasema uongo ndugu zangu.
Mkuu kweli au unachangamsha genge[emoji1][emoji2][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji38][emoji16]
 
Unajua kuna watu wanaropoka tu. Wakati watu tumekimbiza watu Nairobi kwa vigonjwa vidogo sababu tulikuwa tunawapoteza hapa. Tanzania unakuta Daktari bingwa bado ana tibu na teknolojia na elimu ya mwaka 2000. Unaenda hospital kubwa wana vifaa hawajui kutumia. Wana daktari wazuri, mgonjwa anakufaa sababu ya poor nursing halafu huyu kilaza maramojatu anakwambia tuna standards za 1st world. Hii nchi hata chanjo tu za watoto tunapewa misaada na wahisani. Madawa na vifaa tiba tunategemea USAID na mashirika ya kimataifa halafu mtu anakwambia tuna standards. Damn.
Watanzania wengi wakienda mfano USA au UK akiona zile care za mtaani za emergency akirudi Tanzania anakwambia tupo nao sawa wakati wenzetu ukiwa Hospital hata ile harufu ambayo imezoeleka kwenye hospital zetu wao hilo swala halipo..
 
Huyu ndiye aliyesema majimbo ya uchaguzi Zanzibar ni kama vijiji ukipuliza mluzi jimbo zima wanasikia.
Au nasema uongo ndugu zangu.
Aliesema hivyo ni Ally Kessy aliekuwa Mbunge kutokea Mkoa wa Katavi
 
Watanzania wengi wakienda mfano USA au UK akiona zile care za mtaani za emergency akirudi Tanzania anakwambia tupo nao sawa wakati wenzetu ukiwa Hospital hata ile harufu ambayo imezoeleka kwenye hospital zetu wao hilo swala halipo..
Inashangaza sana. Ile possibility unaweza kum sue daktari, nesi na hospital inaleta uwajibikaji na uoga ambao huku haupo. Muhimbili na Aga Khan nusuru niivunje viuno vya nesi kisa uzembe tena mbele ya macho yangu. Huyu jamaa kanikera sana. Mimi personal experience zangu na hospital zetu uwa zinanipa hasira sana sababu hawa watu wameua watu wengi sana waliotakiwa kupona.
 
Ile zitto alimpiga kitu. Walitofautiana bungeni akamshtaki kwa wazee wa kigoma. Nahisi kwa sasa Zitto akimuona yule mzee nafsi inamsuta sana. Mzee kwa sasa anajiswalia zake tu na yupo vizuri, Mungu atamlipia.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Eti Mungu atamlipia,we unajua huyo mzee wako kosa lake?Mungu tangu lini akawa CCM Kwa majizi na mafisadi?
 
Haya niambie ni utaalamu gani wa kutibu sukari ambao Tanzania haupo
Unajua kuna watu wanaropoka tu. Wakati watu tumekimbiza watu Nairobi kwa vigonjwa vidogo sababu tulikuwa tunawapoteza hapa. Tanzania unakuta Daktari bingwa bado ana tibu na teknolojia na elimu ya mwaka 2000. Unaenda hospital kubwa wana vifaa hawajui kutumia. Wana daktari wazuri, mgonjwa anakufaa sababu ya poor nursing halafu huyu kilaza maramojatu anakwambia tuna standards za 1st world. Hii nchi hata chanjo tu za watoto tunapewa misaada na wahisani. Madawa na vifaa tiba tunategemea USAID na mashirika ya kimataifa halafu mtu anakwambia tuna standards. Damn.
 
Mkuu kweli au unachangamsha genge
emoji1.png
emoji2.png
emoji3.png
emoji23.png
emoji1787.png
emoji28.png
emoji38.png
emoji16.png
Ni Ally Kessy mbunge toka uko mkoa wa katavi
 
Back
Top Bottom