Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Hujafa hujaumbika: Huyu ndio yule Sulemani Bungara (Bwege)

Eleza pia chanzo cha kukatwa mguu.

Usieleze kama vile tunajua.

Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!

Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
...Nakumbuka kama alipata ajali jijini Dar gari likamlalia Mkono ikabidi ukatwe. Niko tayari kusahihishwa.

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Halafu unakuta mpumbavu anamtoa kafara mzazi ndugu mwanae ili apate mali ipitayo
 
Eleza pia chanzo cha kukatwa mguu.

Usieleze kama vile tunajua.

Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!

Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
Ok ahsante [emoji120] mkuu apo umefanya nikumbuke vyema mi nilikuwa nahisi huyu ndo yule mbunge wa mchinga
 
Tuna safari ndefu huko tuendako.
20240114_154133.jpg
 
Kama watawala wanapitaga humu naomba waione hii wajue utawala wao wameupata kibahati bahati na muda wao utapita watapata saratani kila kona ya mwili wanajiona bora wanatunyanyasa wananchi sjui wanatuonaje ila watakufa kifo kibaya 😂😂😂

Sjapenda nilivyoandika ila lolote baya liwakute watawala wote wa ccm
Sio wote bhana, CCM kuna watu wema pia.
 
Huyu ndiye aliyesema majimbo ya uchaguzi Zanzibar ni kama vijiji ukipuliza mluzi jimbo zima wanasikia.
Au nasema uongo ndugu zangu.
Hujachanganya madawa kweli? Aliyesema kwamba Zanzibar ukisimama darajani ukapuliza filimbi Zanzibar nzima wanakusanyika ni Ali Kessy mbunge wa Namanyere, Nkansi Rukwa.
 
Back
Top Bottom