adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa Moja..
Msanii maarufu Justin Bieber ameshea video kwenye account yake ya instagram akieleza hali hiyo iliyompata inayosababishwa na virus aitwae 'Varicella zoster' ambao hushambulia nerves za sikio na uso.
Kutokana na ugonjwa huo Justin Bieber upande mmoja wa uso hawezi kutabasamu na macho yanashindwa kupepesa tena. Hali hiyo imesababisha shows zake zilizopangwa kufanyia siku za karibuni kufutwa vile vile amesisitiza kuwataka watu wamuombee kwa Mwenyezi Mungu arejee Ktk hali yake ya kawaida.
Enzi za ujana na uzima
Hali mpya
Msanii maarufu Justin Bieber ameshea video kwenye account yake ya instagram akieleza hali hiyo iliyompata inayosababishwa na virus aitwae 'Varicella zoster' ambao hushambulia nerves za sikio na uso.
Kutokana na ugonjwa huo Justin Bieber upande mmoja wa uso hawezi kutabasamu na macho yanashindwa kupepesa tena. Hali hiyo imesababisha shows zake zilizopangwa kufanyia siku za karibuni kufutwa vile vile amesisitiza kuwataka watu wamuombee kwa Mwenyezi Mungu arejee Ktk hali yake ya kawaida.
Enzi za ujana na uzima
Hali mpya