Hujafa hujaumbika: Msanii Justin Bieber apatwa na ugonjwa wa facial paralysis

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
12,207
Reaction score
26,521
Moja kwa Moja..

Msanii maarufu Justin Bieber ameshea video kwenye account yake ya instagram akieleza hali hiyo iliyompata inayosababishwa na virus aitwae 'Varicella zoster' ambao hushambulia nerves za sikio na uso.

Kutokana na ugonjwa huo Justin Bieber upande mmoja wa uso hawezi kutabasamu na macho yanashindwa kupepesa tena. Hali hiyo imesababisha shows zake zilizopangwa kufanyia siku za karibuni kufutwa vile vile amesisitiza kuwataka watu wamuombee kwa Mwenyezi Mungu arejee Ktk hali yake ya kawaida.



Enzi za ujana na uzima


Hali mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…