Nimeshangaa Ktk video anamtaja Mungu mara kwa mara kwa kuonyesha ana imani kubwa na kutaka watu wamuombee.Uyu dogo tangu awatolee nje wazee wa kafara na kumrudia Jesus kama wazee wa vilinge wanamuundia zengwe na yaona ya wacko jacko hv any ways ni mtizamo tu no hard feelings.
Mwingine ambae amepata side effects kama hizo ni nani mkuu?Huyo Dogo anabwia sana Unga,hizi ndiyo side effects za kubwia hayo madude.
Naona ndo mteja wako mkubwa, maana sio kwa mwandiko huo wenye uhakika wa 100% dah, waja mna mamboHuyo Dogo anabwia sana Unga,hizi ndiyo side effects za kubwia hayo madude.
Bieber aliacha unga miaka kama miwili iliyopita labda kama alirudiaHuyo Dogo anabwia sana Unga,hizi ndiyo side effects za kubwia hayo madude.
Huyo Dogo anabwia sana Unga,hizi ndiyo side effects za kubwia hayo madude.
Konde 🤣Mwingine ambae amepata side effects kama hizo ni nani mkuu?