Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

Wewe beba msosi wako kwenye kontena, nenda nao huko unakopiga kazi kuepusha kununua vyakula vya gharama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa tunapangiana tutumie kiasi gani as if tumesaidiana kutafuta...btw nimegundua kwa chakula kwa siku simalizi 10,000
Supu chapati 2500
Lunch 4000
Dinner 3500
Total 10,000.
 
Sasa tunapangiana tutumie kiasi gani as if tumesaidiana kutafuta...btw nimegundua kwa chakula kwa siku simalizi 10,000
Supu chapati 2500
Lunch 4000
Dinner 3500
Total 10,000.
Samahani mkuu hiyo supu ya 2500 inapatikana wapi?

Nataka na mimi niijaribu siku moja maana na muda sijanywa supu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa tunapangiana tutumie kiasi gani as if tumesaidiana kutafuta...btw nimegundua kwa chakula kwa siku simalizi 10,000
Supu chapati 2500
Lunch 4000
Dinner 3500
Total 10,000.

Unajipikia au unakula sehemu?

Kama unakula sehemu tutonyane basi....nabana matumizi na hivi vijidola vyangu vya maboksi...
 
 
Sasa punguza matumizi ya asubuhi utumie angalau buku, mchana buku jero, jioni buku jero,.. Itayobaki peleka charity

Sent using Jamii Forums mobile app
@PRONDO
 
Unajipikia au unakula sehemu?

Kama unakula sehemu tutonyane basi....nabana matumizi na hivi vijidola vyangu vya maboksi...
Nakula sehemu. Kujipikia mtu mmoja its expensive and time consuming.
 
Tunaziepukaje mkuu??sometimes mtu unatamani ila vigumu sana,siku unaweza kuamua Ile sato ba ugali mchana tu.

Alafu bado jioni hujashtua vibia kadhaa cha kulalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana budget zake mkuu tena hiyo kwa wengine ndogo sana, on my side linapokuja swala la kula naweka kipaumbele kuliko matumizi mengine.

Pia inadepend unakula nini na sehemu gani.
Shukrani mkuu,umejibu vyema na jinsi nilivyokabisa.

Mimi msosi ndo naupa first priority,ntakachokula Leo sili kesho;alafu ninachokipenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…