theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Ukipita maeneo haya itabidi uni PM tuburudike kidogo mkuu....Sio zangu hizo.
Mimi asubuhi [ breakfast ) kuanzia 5000 mpaka 8000 inategemea siku hiyo nitakuwa na mzuka wa nini.....
Mchana ( super lunch ) ni 9000 tu za kitanzia....
Chakula cha usiku naenda kulia nyumbani....
Kwa hiyo gharama ya breakfast na lunch 20000 fedha taslimu za kitanzia huwa naacha mezani Boss.....
Sent using Jamii Forums mobile app