Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

Wakuu,

Kusema kweli nawashangaa watu wengi sana.

Mtu unaishi peke yako, alafu unatumia Tsh 10,000 nzima kwa ajili ya msosi tu. Tena kwa ajili yako wewe mwenyewe.

Hiyo ni anasa na ufujaji wa pesa!!

Maximum kwa siku tumia 5000/- kwa siku kwa ajili ya msosi.

Buku chai, buku jero lunch, buku jero dinner, buku maji na matunda...

Tuachane na anasa, pika mwenyewe nyumbani. Na gharama haitozidi elfu 5 kwa siku kwa ajili ya kula tu.


Niite,

Mjina Mrefu
Dadadeq


Sent using Jamii Forums mobile app
We pambana na hali yako watu wanatumia hadi Tsh 50000 kwajili ya kula masaa 24

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajinyima kula halafu unaenda kuhonga??!
 
KWa Ajili Ya Kula Mlo wa Asubuhi Na Mchana Huwa Unanicost 8,500/= (Nimejibana Mno)
Then JIon Natumia Kama 2,500/= Sababu Ni Mda Wa Kulala
But KWa Uhalisia Per Day gharama Yangu Ni 15,000/=

Sema Ubahiri wako usiweke kuwa kanuni za wengine Ishi kwa urefu wa kamba yako
Wengine kumbuka hawajafungwa kamba so take care, wengine kula ndio starehe yetu kama wewe ulivyo na starehe yakwako

Nadhani unataka ukale vizuri peponi
 
Nyie tambianeni, hamna kitu nadharau kama kula. Mimavi tu, sitaeleza yangu binafsi, ila gharama za mlo sikuzote zinachochewa na kipato.

Sent using BlackBerry Z10 Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Kusema kweli nawashangaa watu wengi sana.

Mtu unaishi peke yako, alafu unatumia Tsh 10,000 nzima kwa ajili ya msosi tu. Tena kwa ajili yako wewe mwenyewe.

Hiyo ni anasa na ufujaji wa pesa!!

Maximum kwa siku tumia 5000/- kwa siku kwa ajili ya msosi.

Buku chai, buku jero lunch, buku jero dinner, buku maji na matunda...

Tuachane na anasa, pika mwenyewe nyumbani. Na gharama haitozidi elfu 5 kwa siku kwa ajili ya kula tu.


Niite,

Mjina Mrefu
Dadadeq


Sent using Jamii Forums mobile app
Hali mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom