Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

Hujaoa/Hujaolewa alafu unatumia Tsh 10,000 au zaidi kwa siku kwa ajili ya chakula tu! Ni anasa hizo

mtoa mada umaskini unakusumbua pata pesa then uje na haya maneno.

mtu na biashara zake kubwa anaishi masaki kweli aende kwa mgahawa wa chakula sahani buku jero...... kuna mambo mengi sana ya kuzingatia usalama na usafi + cheo na hadhi ya mtu.

chakula standard cha kawaida sana ni kuanzia buku 4+. umaskini ni tatizo kubwa sana katika jamii yaani naweza kuufananisha umaskini na kansa ya damu. Mungu nipe pesa nyingi zaidi nizitumie kuonesha ukuu wako natambua kuwa unauchukia sana umaskini ameeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu,umejibu vyema na jinsi nilivyokabisa.

Mimi msosi ndo naupa first priority,ntakachokula Leo sili kesho;alafu ninachokipenda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwili haujengwi kwa matofali.

Kuna watu wanakula kwa mirija mahospitalini, ukipata nafasi ya kula kula ipasavyo na kama uwezo upo kula unavyotaka no matter what.
 
Kuna kipindi last year nilikua natumia hadi 30,000/- kwa siku kila siku. Asubuhi supu mchemsho wa kuku au samaki mkubwa 8,000. Mchana natoka lunch na mchuchu kitimoto sio chini ya 15,000. Usiku napiga menu ya 8,000..

Hapo ni kwenye msosi tu sijasema nitupie mbili tatu yani najikuta karibia 50 inakata kwa siku kila siku.

Kuna siku nilikaa nikajiuliza nikajiona fala sana, nikaamua kubadilika na kufanya mambo ya msingi. Siku hizi nikitumia sana ni 6,000 kwa siku.

Asubuhi 2000
Mchana 2000
Usiku (mara chache) 2000

Siku yakutumia 4,000..asubuhi 2000 mchana 2000 hapo ni tukutane tena kesho asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana anaingiza sh. Ngapi kwahiyo siku, sio matumizi elfu10 afu kipato elfu2, ila kama unatafuta minimum hata hiyo 5 ni kubwa sana kwa siku 2500 inatosha kabisa pia inategemeana na wapi unaishi factors nyingi sana so muhimu ni mtu tu kujipangia kutokana na anavyoona inafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada umaskini unakusumbua pata pesa then uje na haya maneno.

mtu na biashara zake kubwa anaishi masaki kweli aende kwa mgahawa wa chakula sahani buku jero...... kuna mambo mengi sana ya kuzingatia usalama na usafi + cheo na hadhi ya mtu.

chakula standard cha kawaida sana ni kuanzia buku 4+. umaskini ni tatizo kubwa sana katika jamii yaani naweza kuufananisha umaskini na kansa ya damu. Mungu nipe pesa nyingi zaidi nizitumie kuonesha ukuu wako natambua kuwa unauchukia sana umaskini ameeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo lazima ale mgahawani, unaeza pika kwako ht km unaishi masaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi last year nilikua natumia hadi 30,000/- kwa siku kila siku. Asubuhi supu mchemsho wa kuku au samaki mkubwa 8,000. Mchana natoka lunch na mchuchu kitimoto sio chini ya 15,000. Usiku napiga menu ya 8,000..

Hapo ni kwenye msosi tu sijasema nitupie mbili tatu yani najikuta karibia 50 inakata kwa siku kila siku.

Kuna siku nilikaa nikajiuliza nikajiona **** sana, nikaamua kubadilika na kufanya mambo ya msingi. Siku hizi nikitumia sana ni 6,000 kwa siku.

Asubuhi 2000
Mchana 2000
Usiku (mara chache) 2000

Siku yakutumia 4,000..asubuhi 2000 mchana 2000 hapo ni tukutane tena kesho asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulifanya la maana sana mkuu hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana anaingiza sh. Ngapi kwahiyo siku, sio matumizi elfu10 afu kipato elfu2, ila kama unatafuta minimum hata hiyo 5 ni kubwa sana kwa siku 2500 inatosha kabisa pia inategemeana na wapi unaishi factors nyingi sana so muhimu ni mtu tu kujipangia kutokana na anavyoona inafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukiwa unaishi masaki, unaeza tumia buku 3 kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom