Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
- Thread starter
- #81
Inayobaki peleka charitySi ndio unataka watu waishi kwa bajeti hii...utafikiri unawasaidia kutafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inayobaki peleka charitySi ndio unataka watu waishi kwa bajeti hii...utafikiri unawasaidia kutafuta.
Kumbuka kuna siku nakunywa chai ya 5000 msosi ni 9000 constant so mara nyingi gharama zina range kati ya 14000 hadi 16000 mkuu per day.....Mkuu, hiyo 20,000 ni 600,000 kwa mwezi. Mshahara wa watu wawili wanaofanya kazi customer care Vodacom
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuingiza pesa mingi haimaanishi ndo uwe mlafiMfano posta kuna sehemu ugali nyama ni 1500,lakini kuna sehemu ni 4000,na kuna sehem ni 10000,tofauti yake cha 1500 nyama mbili,michuzi mingi na maharage sahani ya chakula ukiitazama huwezi kula,buku nne kidogo hata mtoto mzuri akikuta unakula huwezi jificha,buku kumi ndio balaa nyama za kutosha mambogamboga[emoji3][emoji3][emoji3]hapa ndio unasikia jamaa wanakula mboga badala ya ugali,maana ni nyingi kulko ugali wenyewe
Cha muhimu ni bajeti yako,usilazimishe 10000 wakti wewe ni 1500,maisha hapa duniani ni mafupi,enjoy kulingana na kipato ,wakati niko chuo unakula wali maharage wa mia nane lakini zilikua ni hatua za kupitia,vya bwerere vina gharama sana [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Napika mwenyewe mkuu, hasa weekend nikiwa offAiseee makande unapika mwenyewe?
hahahaMimimbahiliakachekasana.
Unaingiza 1m kwa mwezi?Kumbuka kuna siku nakunywa chai ya 5000 msosi ni 9000 constant so mara nyingi gharama zina range kati ya 14000 hadi 16000 mkuu per day.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Saafi sana mkuu5k mbali sana
Watu tunakula mpakani mwa mchana na usiku saa 9/11
Baada ya hapo unatafta faulo unapiga ndefu.
2000 inatosha .
Wabongo tuna shida sehemuSasa tunapangiana tutumie kiasi gani as if tumesaidiana kutafuta...btw nimegundua kwa chakula kwa siku simalizi 10,000
Supu chapati 2500
Lunch 4000
Dinner 3500
Total 10,000.
Time consuming!! Lunch wala home au ofisini?Sasa mimi natumia kilo tano ya mchele kwa siku 60...unadhani ninakua nime save shilingi ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya chakula inaangalia eneo kweli kabisaa!!Basi eneo na eneo.
Nilipo chakula cha bei rahisi elfu 2,500.
Kwa elfu 1,500 labda utapata matunda na maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu msosi tu mchana mfano nikasema fish wa ukweli na ugali labda au wali,hapo zaidi ya 10 inakatika,Bia ni nje ya chakula. Hakuna neno.. Tunaongelea kuzidisha buku 10 msosi tu
Sent using Jamii Forums mobile app