Aragorn son of Arathorn
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 789
- 829
Mimi nikifuliza supu ya utumbo huwa naanza kutamani matako ya wadada, nimeamua kuacha siku hizi.Nilidhani supu ya nyama Mkuu...
Kwa kweli supu ya utumbo (offals) niko na allergy nayo nikinywa hiyo tumbo huwa linavurugika sana....
Huku supu ya mbuzi safi kabisa elfu 6 za kitanzania Mkuu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app