HUJUMA: Mamilioni yatengwa kuhujumu SOKA

HUJUMA: Mamilioni yatengwa kuhujumu SOKA

Tina

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2007
Posts
572
Reaction score
581
Taarifa za ndani ya vigogo wa Yanga zinasema yametengwa mamilioni kuhujumu timu nyingine ikiwamo Azam na Simba ili Yanga iweze kubeba kombe la FA iweze ipate ushiriki wa michuano ya Kimataifa.

Hujuma hizo zinahusisha vigogo wazito ambao soon tutawaanika.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitalipa waamuzi na wachezaji wa timu husika

Kuhujumu timu zinazoongoza -Simba na Azam

Stay tune[emoji56]
 
Taarifa za ndani ya vigogo wa Yanga zinasema yametengwa mamilioni kuhujumu timu nyingine ikiwamo Azam na Simba ili Yanga iweze kubeba kombe la FA iweze ipate ushiriki wa michuano ya Kimataifa.

Hujuma hizo zinahusisha vigogo wazito ambao soon tutawaanika.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitalipa waamuzi na wachezaji wa timu husika

Kuhujumu timu zinazoongoza -Simba na Azam

Stay tune[emoji56]
Mwisho wa kufikiri
 
Taarifa za ndani ya vigogo wa Yanga zinasema yametengwa mamilioni kuhujumu timu nyingine ikiwamo Azam na Simba ili Yanga iweze kubeba kombe la FA iweze ipate ushiriki wa michuano ya Kimataifa.

Hujuma hizo zinahusisha vigogo wazito ambao soon tutawaanika.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitalipa waamuzi na wachezaji wa timu husika

Kuhujumu timu zinazoongoza -Simba na Azam

Stay tune[emoji56]

smelling!!!!.....
.......Deffence mechanism
 
Taarifa za ndani ya vigogo wa Yanga zinasema yametengwa mamilioni kuhujumu timu nyingine ikiwamo Azam na Simba ili Yanga iweze kubeba kombe la FA iweze ipate ushiriki wa michuano ya Kimataifa.

Hujuma hizo zinahusisha vigogo wazito ambao soon tutawaanika.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitalipa waamuzi na wachezaji wa timu husika

Kuhujumu timu zinazoongoza -Simba na Azam

Stay tune[emoji56]
Stay tune na M.a.t.a.k.o yako, Yanga kwa ukata ilyo nao inapata wapi hela za kuhonga? Muwe mnaandika vitu vyenye logic.
 
Jinga wewe,ata sijui umeandika uozo gani?hizo hela za kuhonga why wasiwalipe akina Ngoma mishahara yao ya malimbikizo?
 
Taarifa za ndani ya vigogo wa Yanga zinasema yametengwa mamilioni kuhujumu timu nyingine ikiwamo Azam na Simba ili Yanga iweze kubeba kombe la FA iweze ipate ushiriki wa michuano ya Kimataifa.

Hujuma hizo zinahusisha vigogo wazito ambao soon tutawaanika.

Fedha hizo pamoja na mambo mengine zitalipa waamuzi na wachezaji wa timu husika

Kuhujumu timu zinazoongoza -Simba na Azam

Stay tune[emoji56]

Dada tunaweza kukuamini kama utatoa details zaidi au kutuonyesha dalili za hujuma hizi
Ila kwa nchi yetu yote yawezekana
 
Stay tune na M.a.t.a.k.o yako, Yanga kwa ukata ilyo nao inapata wapi hela za kuhonga? Muwe mnaandika vitu vyenye logic.

Mkuu naona we mshabiki ila si Manji tu mfadhili naamini wapo akina Lowassa na Ridhwani pia. Hebu tuombe huyu dada afunguke zaidi
 
Hoja imekaa kibashite bashite tu. Ovyoooooooo!
 
Back
Top Bottom