jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ni takribani mwezi sasa wafanyakazi walioomba mkopo benki hawapewi pesa kwa kile kinachodaiwa ni mfumo wa mawasiliano kati ya benki na mwajiri kuwa na hitilafu.
Hoja hapa ni je, huo mfumo pia umechezewa ili kumchonganisha mama na wafanyakazi?
Na kwanini mamlaka inayohusika na mfumo huo haitoi taarifa kwa wadau?
Watu wanakopa kwa sababu maalumu hasa za kuwatibia wapendwa wao. Shime Serikali iingilie kati na kadhia hii iweze kutatuliwa.
Hoja hapa ni je, huo mfumo pia umechezewa ili kumchonganisha mama na wafanyakazi?
Na kwanini mamlaka inayohusika na mfumo huo haitoi taarifa kwa wadau?
Watu wanakopa kwa sababu maalumu hasa za kuwatibia wapendwa wao. Shime Serikali iingilie kati na kadhia hii iweze kutatuliwa.