Pre GE2025 Huko Afrika Kusini ANC imepigwa kipigo cha mbwa mwitu kwenye Uchaguzi. Je, huku kwetu CCM watakubali Uchaguzi Huru na wa Haki?

Pre GE2025 Huko Afrika Kusini ANC imepigwa kipigo cha mbwa mwitu kwenye Uchaguzi. Je, huku kwetu CCM watakubali Uchaguzi Huru na wa Haki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kilichotokea Kenya kikaua KANU kinakwenda kutokea Afrika Kusini. ANC imemeguka makundi kama ambavyo KANU ilimeguka kisha ikafa.

Kifo cha KANU Kenya kilizalisha mapinduzi makubwa kisiasa na kiuchumi. Kupitia kifo cha KANU;
1. Walipata katiba nzuri
2. Wakapata tume huru ya uchaguzi
3. Wakapata mifumo huru ya kusimamia uchaguzi inayoendana na ya ulimwengu wa kwanza
4. Wakapata uhuru wa kisiasa ambapo hakuna mwanasiasa anayeamini kwenye chama, wanaamini kwenye sera

Haya manne kwetu Tanzania hakuna. Badala yake kila anayetaka kuongoza lazima awe chawa wa Mwenyekiti.

Tumeona Zuma na Malema wanavyonunua uhuru wao wa kisiasa South Afrika na sasa kinakwenda kuundwa serikali yapamoja kama ilivyo Zanzibar.

Kwa yaliyotokea S. Africa napata mashaka kama CCM itakubali kuingia kwenye Uchaguzi wa Ushindani.
 
Ilikuwepo election Afrika Kusini, presidential election ,and I did not know about it. Certainly,I am a recluse.
 
Kuna Nini kwani !? Andika vizuri
 
Kilichotokea Kenya kikaua KANU kinakwenda kutokea Afrika Kusini. ANC imemeguka makundi kama ambavyo KANU ilimeguka kisha ikafa.

Kifo cha KANU Kenya kilizalisha mapinduzi makubwa kisiasa na kiuchumi. Kupitia kifo cha KANU;
1. Walipata katiba nzuri
2. Wakapata tume huru ya uchaguzi
3. Wakapata mifumo huru ya kusimamia uchaguzi inayoendana na ya ulimwengu wa kwanza
4. Wakapata uhuru wa kisiasa ambapo hakuna mwanasiasa anayeamini kwenye chama, wanaamini kwenye sera

Haya manne kwetu Tanzania hakuna. Badala yake kila anayetaka kuongoza lazima awe chawa wa Mwenyekiti.

Tumeona Zuma na Malema wanavyonunua uhuru wao wa kisiasa South Afrika na sasa kinakwenda kuundwa serikali yapamoja kama ilivyo Zanzibar.

Kwa yaliyotokea S. Africa napata mashaka kama CCM itakubali kuingia kwenye Uchaguzi wa Ushindani.
Vijana wakichoka watakubali tu, nchi siyo mali ya CCM ni mali ya watanzania
 
CCM wanajua nini kinaenda Kutokea 2025.
Kila mwenye jicho la rohoni anaona kifo cha CCM.kitameguka na kutengeneza kitu kingine kabisa.in fact kwa sasa tayari kuna mpasuko bado tu kudhihirika kwenye macho ya mwili
 
Kilichotokea Kenya kikaua KANU kinakwenda kutokea Afrika Kusini. ANC imemeguka makundi kama ambavyo KANU ilimeguka kisha ikafa.

Kifo cha KANU Kenya kilizalisha mapinduzi makubwa kisiasa na kiuchumi. Kupitia kifo cha KANU;
1. Walipata katiba nzuri
2. Wakapata tume huru ya uchaguzi
3. Wakapata mifumo huru ya kusimamia uchaguzi inayoendana na ya ulimwengu wa kwanza
4. Wakapata uhuru wa kisiasa ambapo hakuna mwanasiasa anayeamini kwenye chama, wanaamini kwenye sera

Haya manne kwetu Tanzania hakuna. Badala yake kila anayetaka kuongoza lazima awe chawa wa Mwenyekiti.

Tumeona Zuma na Malema wanavyonunua uhuru wao wa kisiasa South Afrika na sasa kinakwenda kuundwa serikali yapamoja kama ilivyo Zanzibar.

Kwa yaliyotokea S. Africa napata mashaka kama CCM itakubali kuingia kwenye Uchaguzi wa Ushindani.

Nilivyosikia Zuma anagombea nikasema ngoja nione akili za wa South zikoje kwenye hili,
Nikasema nimekuwa nikiwaamini sana ktk maswala ya kidemokrasia sasa safari hii Mbona kama siwaelewi?! Zuma yule au mwingine ?!
Kumbe ndio hali imekuwa hivyo!
Ni Sawa tu, studies zinaonesha “ wakati mwingine jambo fulani yapasa liharibike liondoke liishe ili jambo jema liweze kuja na kuanza”
 
Back
Top Bottom