Huko dunia ya Ulaya kuna jambo gani kuhusu Afrika?

Huko dunia ya Ulaya kuna jambo gani kuhusu Afrika?

senzighe

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
2,108
Reaction score
1,666
Mfalme Charles wa Uingereza Kaingia Kenya Kwa ziara ambayo ilijulikana kabla.

Lakini tukasikia na Rais wa Ujerumani naye Kaingia Tanzania kwa ziara ya kikazi.

Kule Kenya Mfalme huyo amejutia yale yaliyowasibu wakenya wakati wa Kupigania uhuru wao na huku Tanzania tunaambiwa Rais huyo anaenda Songea Mkoani Ruvuma na atatembelea kumbukumbu ya mashujaa wa vita vya majimaji.

Na nasikia kwa ziara hii pia itawezesha kurudiswa kwa masalia ya mshujaa wetu yaliyo hifadhiwa kwenye makumbusho yao huko Ujerumani.

Sasa kwa ziara hizi mbili kuna kitu gani kinaenselea?

Isije iakawa.
 
Mbona wa ki Afrika kila kukicha wamo Ulaya, Asia na US!! Mkuu hili hulioni?!!
 
New scramble for partitio. Of Africa .

Hii ni chess game . Tuna pawns Sawa ..

Wao ni grandmasters Sisi ni amateurs .. kifikra lakini( White supremacy)


Hapa Ngoja tupime uwezo wa Viongozi wetu na wasomi wetu .
 
Mfalme Charles wa Uingereza Kaingia Kenya Kwa ziara ambayo ilijulikana kabla.Lakini tukasikia na Rais wa Ujerumani naye Kaingia Tanzania kwa ziara ya kikazi.Kule Kenya Mfalme huyo amejutia yale yaliyowasibu wakenya wakati wa Kupigania uhuru wao na huku Tanzania tunaambiwa Rais huyo anaenda Songea Mkoani Ruvuma na atatembelea kumbukumbu ya mashujaa wa vita vya majimaji.Na nasikia kwa ziara hii pia itawezesha kurudiswa kwa masalia ya mshujaa wetu yaliyo hifadhiwa kwenye makumbusho yao huko Ujerumani.
Sasa Kwa ziara hizi mbili kuna kitu gani kinaenselea ? Isije iakawa.................
Western Europe kuna lasilimali watu , hawana rasilimali ghafi, vise versa is True 🔄😂, Africa (Dark Continent) halina rasilimali watu ila lina rasilimali ghafi
 
Wahuni tuu hao. Wakoloni mamboleo
Tunahitaji kujitambua, kwa nyakati hizi wazungu wanatuhitaji kihalisia kuliko tunavyowahitaji.
Hata hivyo, kwa kuwa ssilimia kubwa ya wanasiasa wetu ambao ndiyo viongozi, ni watu wenye kupenda dezo na fikra tegemezi zenye kujikomba kwa wageni, mwafrika bado ataendelea kuteseka.
Maendeleo ya teknolojia kwa sasa yanaweza kuyasaidia zaidi mataifa yanayoendelea zaidi kuliko yaliyoendelea.
 
Tunahitaji kujitambua, kwa nyakati hizi wazungu wanatuhitaji kihalisia kuliko tunavyowahitaji.
Hata hivyo, kwa kuwa ssilimia kubwa ya wanasiasa wetu ambao ndiyo viongozi, ni watu wenye kupenda dezo na fikra tegemezi zenye kujikomba kwa wageni, mwafrika bado ataendelea kuteseka.
Maendeleo ya teknolojia kwa sasa yanaweza kuyasaidia zaidi mataifa yanayoendelea zaidi kuliko yaliyoendelea.
Hakika, maendeleo yao ya technology ni useless bila rasilimali. Na kwa wingi zinatoka Africa, hivo tukiweka mikakati dhabiti nakuwa wamoja Africa nihakika sisi ndio tutakuwa supplier wao. Nadhani mpango unaendelea wa free trade agreement nao nitishio kwao.
 
Western Europe kuna lasilimali watu , hawana rasilimali ghafi, vise versa is True 🔄😂, Africa (Dark Continent) halina rasilimali watu ila lina rasilimali ghafi
Africa ina rasilimali watu na malighafi, ilichokosa ni uongozi bora.
Waafrika wanatakiwa wapambane kusafisha viongozi wajinga na waovu.
 
Africa ina rasilimali watu na malighafi, ilichokosa ni uongozi bora.
Waafrika wanatakiwa wapambane kusafisha viongozi wajinga na waovu.
Rasilimali watu na watu ni vitu viwilii tofauti Afrika kuna watu tu
 
Wanashindwa kusema tunataka watumwa, enzi hizo walinunua .Mara hii tunabembelezwa twende wenyewe. Na kule kunafurika sasa wanatafuta kuboresha Afrika ili kupunguza mikimbizi inayoenda nchi hizo. Usije shangaa tukaambiwa wakimbizi wa nchi za ulaya wanaletwa Afrika na visa ya moja kwa moja.
 
Rasilimali watu na watu ni vitu viwilii tofauti Afrika kuna watu tu
Rasilimali watu ipo, Ila fikra za kitumwa za kuabudu wazungu na wageni ndiyo tatizo.
Ninafanya kazi na wazungu, wapo ambao ni very dull, smart and very smart.
Sasa, shuhudia watu wetu, wakiwemo wataalamu hata mawaziri na wanasiasa wanavyowaabudu wazungu na kuwakubali hata kama ni zero brain (kwa kauli zao hao hao wanasiasa).
 
Wanataka Sana kurud lakin wanarudije ndo wanashindwa,hawajui wafanyaje kumbe wao wanakosea kitu kidogo Sana ambacho wenzao WA china wanafanya ,wanazan huu NI ule muda WA kutoa kidogo sana upate kingi sana ,saivi NI wakati WA kushirikiana unapata na Mimi napata(win win deal) mchina anawekeza,mchina anajenga miundo mbinu tena Kwa garama za chini kuliko mtanzani kitu ambacho mzungu hataki kukifanya
 
Back
Top Bottom