KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Inasikitisha sanaHizi ndo mambo vijana tunapenda.
Kufatilia umbea bora huo mda uandae odds na ubet.Hizi ndo mambo vijana tunapenda.
Kwa hiyo?Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari.
Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
Hahahaha,swali zuriKwa hiyo?
Ndio anazibuliwa mtaroNani kauza hapo Masta J
Kwa hiyo kumenoga sanaKwa hiyo?
AstaghafillahNdio anazibuliwa mtaro
Sumbawanga wana rusha maroketi kila siku, mchana na usikuWalai tukirusha roketi niiteni Mwantumu.
For sureSredi ya hovyo sana hii ya Mwezi Machi, 2025