Kumbe hiyo ya siku content zake zinakuwa nini sasa?
Kumbe hiyo ya siku moja contents zake zinakuwa nini sasa?
kaka yangu usipate shida, tatizo ni kwamba haya yanafanywa kwa upande mmoja tu wa ke ilihali me tunaassume kuwa anajua majukum yake. kumbe ni makosa makubwa. mama peke yake hawez akafanya kila kitu bila kusaidiwa na baba na ndio maana kwangu kitchen paty naichukulia kama sherehe ya kupewa vyombo tu lakin siyo mafunzo
malezi yanaanzi mbali sana toka nyumbani ulikozaliwa na kulelewa. kama kwao mdada hajawah kumuona mama akiwa jikoni anapika au anambembeleza baba unategemea atakuja kuambiwa kama ngonjera aelewe?pale huwa hatuendi mna msufuria wala miko na moto ili apike wala hatuendi na watoto li akaone malezi haya alipaswa ajifunze kwao wakati anakua na mengine ajifunze mwenyewe kwenye maisha hata kw akusoma vitabu